Kuna mtu kagundua nilichokiona katika huu mfano wa cheki?
Nina imani kuwa baada ya kuona kuwa nanasi za hapa Bongo ni bora kuliko za huko Ghana na Ivory Coast, atajitahidi kuzitafutia soko za hapa kwetu huko Ulaya wanakouza wenzetu.
Umesema je au wewe ni kati ya hawa waliokaaa hapa
View attachment 61362
dah kwel kiranja wetu katalii.....
Mh hizi picha msiweke jamani maana nikiziona nasikia hasira mpaka machozi yanatoka, sijui hawa tulionao ni viongozi au wahujumu uchumi.
this stupid guy never talked any logical thing..kila siki ni pumba tu... utumwa bwana taabu kweliUhasidi tu umewajaa.
Aliyofanya Kikwete kwa Tanzania kuanzia mashule, barabara, vyuo vikuu, vyuo vya ufundi, afya utalii (tena wa wenye fedha sio wa backpackers) hakuna Rais yeyote wa kabla anaempata hata nusu kwa mafanikio yake.
Life expectancy ya Mtanzania imepanda kutoka miaka 48 wakati anamaliza Nkapa mpaka sasa ni zaidi ya miaka 58, kama si maisha bora kwa Mtanzania nini hicho?
Mkuu kama unazo zingine tupia hapa....hahahahah
Uhasidi tu umewajaa.
Aliyofanya Kikwete kwa Tanzania kuanzia mashule, barabara, vyuo vikuu, vyuo vya ufundi, afya utalii (tena wa wenye fedha sio wa backpackers) hakuna Rais yeyote wa kabla anaempata hata nusu kwa mafanikio yake.
Life expectancy ya Mtanzania imepanda kutoka miaka 48 wakati anamaliza Nkapa mpaka sasa ni zaidi ya miaka 58, kama si maisha bora kwa Mtanzania nini hicho?