Picha za matukio mbalimbali ya Kikwete akijenga taifa..

kikwete22.jpg
Bila shaka hapa alikuwa akicheza kidalipo kweli kikwete anaonyesha kujari watoto wetu.
 
Asante rais wetu mimi nakupenda kwa kuchanganyika na watu wa aina zote. Huo ndio utu na si hao wengine wanaojiona wako at the top of the earth hawana time na watu wadogo wa uswahilini,au wacheza sinema au bibi kama huyo uliyemtembelea huko chalinze. Nakushkukuru unajua pia kuna watu kama kina kanumba, happy magese na huyo mama mliyekuwa naye kwenye kampeni. Nitafurahi sana ikiwa siku moja utafika uswahilini kwetu tegeta kwa ndevu. Karibu sana.

Naomba tupunguze kashfa kwa kiongozi wa nchi, wasanii ni sehemu ya jamii, lazima aonane nao na kushauriana nao. kuna matukio mengi aliyopiga nayo picha lakini wewe umechagua hayo machache kwa lengo la kumdhalilisha tu. kwa mfano wakati anagawa matrekta kwa wakulima mbona sijaona picha yake hapo. anapotoa misaada ya ng'ombe wa waathirika wa ukame, amehimiza uzalishaji mali wa viwanda vya ndani mfano cement, sioni picha hapa. kwa viongozi wote duniani unaweza kutengeneza story kwa kutumia picha za matukio kwa mtazama wako binafsi. Hata mitume, manabii na Yesu mwenyewe alitengenezewa story ya udhalilishaji kama hii. Mimi sio mwana ccm, lakini nasema hivi, 'Kikwete atakapomaliza muda wake tutaanza kumlilia kabla hata mwaka haujaisha, bila kujali atakayempokea ni mwanaccm mwenzie au kutoka chama kingine, Kilio ni lazima' naomba Mungu anipe uzima ili haya yatakapotokea niwakumbushe. MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI.
 
JK-na-watoto.jpg
Watoto wakimsikiliza kwa makini kabisa raisi wa tanzania huku nyuso zao zikionyesha njaa.
 
Naomba tupunguze kashfa kwa kiongozi wa nchi, wasanii ni sehemu ya jamii, lazima aonane nao na kushauriana nao. kuna matukio mengi aliyopiga nayo picha lakini wewe umechagua hayo machache kwa lengo la kumdhalilisha tu. kwa mfano wakati anagawa matrekta kwa wakulima mbona sijaona picha yake hapo. anapotoa misaada ya ng'ombe wa waathirika wa ukame, amehimiza uzalishaji mali wa viwanda vya ndani mfano cement, sioni picha hapa. kwa viongozi wote duniani unaweza kutengeneza story kwa kutumia picha za matukio kwa mtazama wako binafsi. Hata mitume, manabii na Yesu mwenyewe alitengenezewa story ya udhalilishaji kama hii. Mimi sio mwana ccm, lakini nasema hivi, 'Kikwete atakapomaliza muda wake tutaanza kumlilia kabla hata mwaka haujaisha, bila kujali atakayempokea ni mwanaccm mwenzie au kutoka chama kingine, Kilio ni lazima' naomba Mungu anipe uzima ili haya yatakapotokea niwakumbushe. MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI.
Mkuu hili nijukwaa huru kama unazo picha za matukio mbalimbali raisi wetu mpendwa akijenga nchi tuwekee au mods wanazifuta? acha kulalamika tu..
 
this stupid guy never talked any logical thing..kila siki ni pumba tu... utumwa bwana taabu kweli

Mnafikiri nchi inajengwa kwa kushika sururu na jembe tu> ingekuwa hivyo angejenga Nyerere kwanza, lakini si mnajuwa alivyoiacha au mlikuwa hamjazaliwa?

Hao anaokutana nao Kikwete hao ndio wajenga nchi kama hamjui.
 
Mnafikiri nchi inajengwa kwa kushika sururu na jembe tu> ingekuwa hivyo angejenga Nyerere kwanza, lakini si mnajuwa alivyoiacha au mlikuwa hamjazaliwa?

Hao anaokutana nao Kikwete hao ndio wajenga nchi kama hamjui.

Na kweli, si unaona maisha bora kwa kila mtanzania...
 
Na kweli, si unaona maisha bora kwa kila mtanzania...

Ohhh yes, kwa takwimu kabisa, life expectancy ya Mtanzania during Nyerere, Mwinyi, Nkapa never exceeded 50 years that is a total of 44 Years of ruling. Kikwete's time, just 7 Years of ruling, life expectancy shot to over 58 years. Biggest achievement on maisha mazuri kwa kila Mtanzania ever.
 
Ohhh yes, kwa takwimu kabisa, life expectancy ya Mtanzania during Nyerere, Mwinyi, Nkapa never exceeded 50 years that is a total of 44 Years of ruling. Kikwete's time, just 7 Years of ruling, life expectancy shot to over 58 years. Biggest achievement on maisha mazuri kwa kila Mtanzania ever.

Unaweza kunipata maelezo zinsi ya kukokotoa na kupata hiyo 58? na je hizi tathimini zilifanyika lini maana wasiwasi wangu ni kama hizi tunazoambiwa Tanzania tunapaa kimaendeleo...
 
Ohhh yes, kwa takwimu kabisa, life expectancy ya Mtanzania during Nyerere, Mwinyi, Nkapa never exceeded 50 years that is a total of 44 Years of ruling. Kikwete's time, just 7 Years of ruling, life expectancy shot to over 58 years. Biggest achievement on maisha mazuri kwa kila Mtanzania ever.

Maisha bora kwa kila mtanzania
mw.jpg
View attachment 61752

MAISHA BORA KWAKILA MTANZANIA JAMANIIIIII-MWANANYAMALA.JPG
 
UPUNGUFU, wa watumishi wa afya katika kata ya Endamilai iliyopo
wilayani Mbulu umesababisha mhudumu mmoja kuhudumia wagonjwa wanaotoka vijiji sita vya kata hiyo ambapo wananchi wa eneo hilo hawapati huduma zao za matibabu kama inavyotakiwa hali inayopelekea akina mama kujifungulia njiani huku wakiofia kuatarisha maisha yao.View attachment 61754
 
Unaweza kunipata maelezo zinsi ya kukokotoa na kupata hiyo 58? na je hizi tathimini zilifanyika lini maana wasiwasi wangu ni kama hizi tunazoambiwa Tanzania tunapaa kimaendeleo...

Wewe lete zako ambazo zipo tofauti, unaweza kwenda kwenye website ya UNDP uwaulize wanafanyaje kupata hizo takwimu.

Au hukuona zimetoka wapi? pitia pitia humu utaona tu, na link ipo.
 
SON, YOU GAHT THE MOSQUITO NETS IN EXCHANGE WE GET YEARS TO MINE GOLD AnD SET OUR CAMPS IN YOUR COUNTRY, AND WE HAVE A DEAL yeah?! NDIO NDIO BUSHI...
President-Jakaya-Kikwete--007.jpg

Duh, Mkuu hiki kiingereza cha kichina nini;

"camp " ni kum aanisha nini? "Military base?? or camp site??" na Son = Mtoto au ??.
 
Nina imani kuwa baada ya kuona kuwa nanasi za hapa Bongo ni bora kuliko za huko Ghana na Ivory Coast, atajitahidi kuzitafutia soko za hapa kwetu huko Ulaya wanakouza wenzetu.
attachment.php

Si bora anaposafiri angekuwa anazitaftia kazi, mwenzako ukimsikia kasafiri ujue ni bakuli la kuomba kaenda kulipitisha
 
Back
Top Bottom