Picha za kusikitisha wakati wa Biashara ya Utumwa

Kuna kitu huwa kinanipa shida,iliwezekana vp unakuta waafrika 100,wamewekwa chini ya ulinzi na mzungu mmoja!kwanini hawakuwashambulia hao wazungu na kuwaua,lakini nikakumbuka Mkuu wa wilaya,alivyowachapa bakora wanaume watu wazima,Tena wenye ndevu zao,wanaamlishwa lala,na wao wanalala,hii hofu hutoka wapi?
Hahaha, yaani kuwa na common understanding sio jambo rahisi, ni ngumu kuelewa inakuwaje dunia ya leo mtu anakubali kucharazwa fimbo na mwanadamu mwenzie, hata leo percent kubwa ya watu bado hawajajitambua,
 
Kuna kitu huwa kinanipa shida,iliwezekana vp unakuta waafrika 100,wamewekwa chini ya ulinzi na mzungu mmoja!kwanini hawakuwashambulia hao wazungu na kuwaua,lakini nikakumbuka Mkuu wa wilaya,alivyowachapa bakora wanaume watu wazima,Tena wenye ndevu zao,wanaamlishwa lala,na wao wanalala,hii hofu hutoka wapi?
Mbona hushangai viongozi wako kuwachapa viboko wababa wazima
 
Kuna kitu huwa kinanipa shida,iliwezekana vp unakuta waafrika 100,wamewekwa chini ya ulinzi na mzungu mmoja!kwanini hawakuwashambulia hao wazungu na kuwaua,lakini nikakumbuka Mkuu wa wilaya,alivyowachapa bakora wanaume watu wazima,Tena wenye ndevu zao,wanaamlishwa lala,na wao wanalala,hii hofu hutoka wapi?
Walikuwa nacheni mguuninamzungu alibeba bunduki
 
Zamani watumwa walichukuliwa kwa nguvu ila siku hizi wanajipeleka wao wenyewe tena kwa kuhatarisha maisha yao kwa kutumia njia za usafiri ambazo ni hatari sana na hasa usafiri wa baharini,

Wengi wamepoteza maisha yao Baharini wakiwa njiani kujipeleka utumwani.
🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭 baharini???
 
Picha zenyewe umevuruga vuruga. Hata ujulikani uzungumzia utumwa gani. Picha zingine za marekani 1960s race riots umeziweka, sasa sijui kulikua name utumwa huko marekani miaka ya 60. Yani Hata sielewi.
 
Wazee wetu walikuwa wajinga sana, wakashindwa kugundua silaha kali pamoja na hazina ya chuma zote zilizopo Axum, Meroe, Engaruka n.k

Hata kama hilo liliwashinda wakashindwa kujiogarnise na kuwa na Unity.

Wakati hao wazungu walikuwa wachache ila walikuwa na umoja dhidi ya weusi wanyonge.

Unity is power.

Walifeli kwny technology walitakiwa wafaulu kujenga umoja wenye nguvu.
 
Back
Top Bottom