Picha za kusikitisha wakati wa Biashara ya Utumwa

game over

JF-Expert Member
Jan 1, 2016
10,402
23,324
Share kwa wengine
Screenshot_20210107-063253_Opera%20News%20Lite.jpg
Screenshot_20210107-063237_Opera%20News%20Lite.jpg
Screenshot_20210107-063221_Opera%20News%20Lite.jpg
Screenshot_20210107-063202_Opera%20News%20Lite.jpg
Screenshot_20210107-063141_Opera%20News%20Lite.jpg
Screenshot_20210107-063115_Opera%20News%20Lite.jpg
 
Zamani watumwa walichukuliwa kwa nguvu ila siku hizi wanajipeleka wao wenyewe tena kwa kuhatarisha maisha yao kwa kutumia njia za usafiri ambazo ni hatari sana na hasa usafiri wa baharini,

Wengi wamepoteza maisha yao Baharini wakiwa njiani kujipeleka utumwani.
 
Zamani watumwa walichukuliwa kwa nguvu ila siku hizi wanajipeleka wao wenyewe tena kwa kuhatarisha maisha yao kwa kutumia njia za usafiri ambazo ni hatari sana na hasa usafiri wa baharini,

Wengi wamepoteza maisha yao Baharini wakiwa njiani kujipeleka utumwani.
Tatizo ni nini hapa, siasa zetu au umasikini, au ni kutojitambua
 
Tatizo ni nini hapa, siasa zetu au umasikini, au ni kutojitambua
Sababu zote 3 zinaingia,,,Siasa mbovu unajua waafrika na jamii nyingine kama zetu zimetoka kwenye mifumo ya kifalme,Kitemi,ki chief.Linapokuja suala la Demokrasia ya kumagharibi inawachanganya kidogo viongozi,Ndo mana unaona wengine wanakataa kutoka madarakani,wanatolewa kima bavu n.k,kwa hiyo moja kwa moja tumezoe kurithishana vyeo kwa maslahi ya wachache waliokaribu na duara,hii inapelekea moja kwa moja walio wengi kukosa keki ya taifa na kusababisha UMASIKINI.Umasikini unawafanya watu kutafuta njia mbadala za kupiga vita umaskini.Ndani ya nchi zao mifumo ya kutoboa kimaisha imebanwa kidogo hivyo kupelekea waliowengi kujitoa kafara Do or Die ili tu wapige vita umasikini.
Mafanikio ya wale waliowatangulia huko nje,Baada ya kuona ndani ya nchi zao hakueleweki kuna waafrika wa mwanzo waliamua kujilipua Ulaya na kurudi na ukwasi hivyo inawafanya wengine kuona kama hiyo nayo ni njia sahihi ya kufanikiwa...Yaani ukitaka kuliona hilo Embu ufikirie mchezo wa Kamari,kwanini watu wengi wanaypenda,ilihali wanaliwa pesa zao na kuwaingiza umasikini inafanana na hiyo ya kwenda ulaya
Nature ya mwanadamu kutafuta sehemu yenye malisho mazuri,,hata wao walikuja afrika kama sisi Akina sadio mane,mo salah,D.Drogba,S.etoo n.k tunavyoenda kwao kuvuna utajiri
 
Kuna kitu huwa kinanipa shida,iliwezekana vp unakuta waafrika 100,wamewekwa chini ya ulinzi na mzungu mmoja!kwanini hawakuwashambulia hao wazungu na kuwaua,lakini nikakumbuka Mkuu wa wilaya,alivyowachapa bakora wanaume watu wazima,Tena wenye ndevu zao,wanaamlishwa lala,na wao wanalala,hii hofu hutoka wapi?
 
Back
Top Bottom