The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,117
- 50,929
Usiandike kitu usichokijua ili tu kuifariji nafsi yako,nyie ndio hua mnakaririshwa jambo nanyi mmegeuka kua kama sponge mnanyonya kila kimiminika,huko Oman kuNa black kibao na kuna mji mmoja unaitwa SUR huko ni black tu,team ya taifa ya Soka ya Oman wamejaa black kibao,tumia simu yako vizuri ili utoke usingizini.Biashara ya utumwa muwalaumu waarabu wa Oman amboa Leo tunawaita ndugu zetu . Lakini mwisho WA siku wale watumwa walipofika uarabuni walihathiwa ili wasipate watoto kule