Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Wakuu kuandikia mate si jadi ya wanaJF makini. Hebu jionee baadhi ya picha katika kijiji cha Kitefu ambacho kipo mbali kidogo na mji wa Maji ya Chai lakini watu walijitokeza kwa wingi kulingana na ukubwa mji huo.
Pamoja na jua kali la kuanzia saa saba na tisa lakini akina mama, wazee hawakisita kuhudhuria mkutano huo na kuonyesha dhahiri ni wadau wa CDM, tujage mwanawane;
Moja ya bango ambalo linawakilisha machungu ya Wameru kijiji hapa ni hili "Arumeru Mashariki siyo mgodi mmiliki afe amilikshwe mwanae!!!"
Nani kasema CDM hakuna wazee bali ni vijana watupu? Jibu la swali lako ni huyo mzee aliyekubali kuchomwa na jua kali ili kusikiliza sera za ukombozi la jimbo lake Arumeru.
Akina mama nao hawakuwa nyuma. Habari ndiyo hiyo.
Kijana mmoja aliyefahamika kama Peter ambaye ni mjumbe wa kata katika vikao vya Wilaya na Mkoa akijiunga na CDM. Hapo jukwaani akikabidhi kadi Joshua Nassari.
Baadhi ya watu wakifuatilia kwa makini mkutano huo
Nawakilisha.
Pamoja na jua kali la kuanzia saa saba na tisa lakini akina mama, wazee hawakisita kuhudhuria mkutano huo na kuonyesha dhahiri ni wadau wa CDM, tujage mwanawane;
Moja ya bango ambalo linawakilisha machungu ya Wameru kijiji hapa ni hili "Arumeru Mashariki siyo mgodi mmiliki afe amilikshwe mwanae!!!"
Nani kasema CDM hakuna wazee bali ni vijana watupu? Jibu la swali lako ni huyo mzee aliyekubali kuchomwa na jua kali ili kusikiliza sera za ukombozi la jimbo lake Arumeru.
Akina mama nao hawakuwa nyuma. Habari ndiyo hiyo.
Kijana mmoja aliyefahamika kama Peter ambaye ni mjumbe wa kata katika vikao vya Wilaya na Mkoa akijiunga na CDM. Hapo jukwaani akikabidhi kadi Joshua Nassari.
Baadhi ya watu wakifuatilia kwa makini mkutano huo
Nawakilisha.