Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,512
Mkuu EMT, kwa picha hizi japo zipo kwa uchache...nina kila sababu ya kuamini Rais wetu na Mamlaka zake wamekurupuka kutoa hizo "Marufuku" walizozitoa.
Hivyo hilo linanifanya nitilie mashaka uwezo wa utendaji wa Rais wetu...
Nahisi CDM wamefanya makusudi kuropoka waliyoyasema ili wengine waingie kichwa kichwa. Na kwa hili wamefanikiwa.