Herbalist Dr MziziMkavu
Platinum Member
- Feb 3, 2009
- 43,073
- 34,844
- Thread starter
-
- #481
MziziMkavu is banned?
MziziMkavu alikuwa anazungumza Mambo ya dini kule kwenye jukwaa la Dini na Mtu mmoja aitwae Mkuu kipala Mzizimkavu alimwambia Mkuu kipala anatoa Aya za Biblia kisha kutoaMziziMkavu is banned?
Hana kosa alilolifanya MziziMkavu kaonewa na Mkuu Moderator buchanan.For what reason???
'' Hakika nyinyi mnayaabudu masanamu mkaacha ibada ya Mwenyezi Mungu, na mnatengeneza uongo; bila shaka wale mnaowaabudu mkamuacha Mwenyezi Mungu, wao hawakumiliki riziki; takeni riki kwa Mwenyezi Mungu, na Muabuduni na Mshukuruni. Kwake mtarudishwa. Qur'an: 29:17.
Mkazi wa jiji la Dar es Salaam akibusu Msalaba katika maadhimisho ya Ijumaa Kuu katika Kanisa la Mtakatifu Petro jana.
Mkuu kwa imani ya kikristo poa tu hiyo kupiga busu msalaba, Si unajuwa kila mtu na imani yake. wewe unaona wakristo wanabudu masanamu kwa imani yako ya Kiislam lakini kwa Wakristo ni kitu cha kawaida Mungu ndie muamuzi wa mwisho siku hiyo inakuja acha tu mkuu.'' Hakika nyinyi mnayaabudu masanamu mkaacha ibada ya Mwenyezi Mungu, na mnatengeneza uongo; bila shaka wale mnaowaabudu mkamuacha Mwenyezi Mungu, wao hawakumiliki riziki; takeni riki kwa Mwenyezi Mungu, na Muabuduni na Mshukuruni. Kwake mtarudishwa. Qur'an: 29:17.