Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
- Thread starter
- #301
Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi Mkazi wa Wilaya ya Longido ng'ombe watano na mbuzi ambaye ni miongoni mwa kaya 6,128 za wilaya hiyo, Monduli na Ngorongoro mkoani Arusha ambazo mifugo yao yote ilikufa kwa kukosa maji na malisho kutokana na ukame.(PICHA:IKULU)