huu ni ufisadi wa hali ya juu sana ambapo jitu linasema linaipenda tz halafu linaichukia kwa uroho wa pesa..! na serikali badala ya kufanya kitu inaona na kusema tu... ona ..ona.. ona kama vile lodi lofa kwenye mechi ya bon town na bushi star anamwambia kipa angalia hiyo goli linaingia..! wanafungwa kweli halafu baadae kipa anamwambia lodi lofa hukuniambia nidake uliniambia niangalie na mimi nikaangalia jinsi mpira ulivyokua unaingia na kwa bahati mbaya tukafungwa ndo hivyoooooo tulivyo na magamba yetu...!
alafu analalamika kwa kutwambia sisi ambao hauna hata kacheo ka katibu kata badala ya kutumia nafasi yake kutoa maamuzi, kweli "Mitanzania ndivyo tulivyo"!
CCM na serikali yake wanatubedua bedua wananchi wanavyotaka wao...............ipo siku, lazima na mii nitatafuta nafasi ya kumuingiza mtu kijiti cha kalio.........hata kama nitakuwa nimesafiri.........nitarudi kwa ajili ya kazi hiyo tu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.