Mzee Nisaidie sijuwi itakuwaje Masuala ya ufumbuzi wa Tatizo la Nishati ya Umeme nashindwa kupata ufumbuzi nisaidie mzee wangu.....
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (kushoto), akimsililiza Waziri wa Nishati na Madini , William Ngeleja, mara baada ya Waziri Mkuu kufungua mkutano wa wadau wa mafuta na gesi, jijini Dar es salaam jana. Katikati ni mwenyekiti wa chama cha wadau wa mafuta na gesi nchini, Balozi Isaya Bakari Chialo. Picha na PMO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.