Nzeze ShembiuUanicheka? Mimi naitwa Shembillu
Nzeze ShembiuUanicheka? Mimi naitwa Shembillu
Niwedi hangizeiweNzeze mndee
Haaaa!!!!!Yaani kijijini raha sana.
Mkipendana mnaenda kumalizana huko kwenye kitivo cha makabichi au kwenye miti ya matunda damu au mafyoksi
Karibu sana uchagulagePole Sana aiseeeee, kwa sasa Natamani niende Usukumani huko! Kuzuri na kwenyewe
😂😂😂😂Hongera kwa ubunifu watu wa Mlalo,Mtae,Lukosi na Mgwashi.
Wasambaa wanambwembwe sana kuna hicho kijiji Mgwashi wanavyotamka unabaki unashangaa tu.
Nimekumbuka pande za magaoni/mikanjuni nilikuwa naenda kupata wali nazi uliopikwa kwenye chungu full kijilambaTanga kwetu huko , kuna makolola,Hamboni,nguvu Mali duga mikanjuni,sahare,mwakidila,mwahako, n.k
Mwanaume kuingia jikoni tu hata kwa mkeo ni uhanithi.kweli mila zinatofautiana, umewezaje kuingia jikoni kwa Mama mkwe !!! Kwa mila nyingine, hapo tayari ungekuwa umekosa mke.
Nzeze Shembiu
Yana sura mbaya kama nanihii lakini ni matamu balaa, nimeamini vyenye sura mbaya ni vitamu siku zoteKuna matunda yanaitwa maviru huwa nikiyakumbuka natamani nipae nitue lushoto nikayale
Kawaida ya lumumbazNitakuwa wa mwisho kuamini kama hiyo ni kweli Afrika, Tanzania!
Yana sura mbaya kama nanihii lakini ni matamu balaa, nimeamini vyenye sura mbaya ni vitamu siku zote


Umeona eeeeMbwembwe na bada
Kwa kweli maana msambaa mimi wangenishangaa nimeinama nachuma vimajaniningekuona ningecheka mpka nianguke
KabisaHaaaa!!!!!
na mjua mtu anaye tengeneza
Nitakuwa wa mwisho kuamini kama hiyo ni kweli Afrika, Tanzania!
Hilo jiko nyumbani kwetu kule kwe mifiu, kijiji cha Maringo, kwa vigingi, kata ya Malindi karibu na kwa Paul, Lukozi wilaya ya Lushoto, njia ya Mtae lipo.
Hayo majiko pembeni yanatumika kuweka mboga isipoe baada ya kupika.
Hapo tumetoka kuchuma mbwembwe na kabichi kwenye kitivo, tunapika chukuchuku...pembeni babu anakamua ng'ombe maziwa mengine anaweka kwenye kibuyu kugandisha mtindi.
Kijijini raha sana.
Msambaa asilia...