rehema shabani
JF-Expert Member
- Aug 31, 2018
- 216
- 91
xikuchi mwaya
Sis ukoo wetu hauna sheUanicheka? Mimi naitwa Shembillu
Tupoo kama wotejamn wasambaaa mpo,jmn nimekumbuka kwe2
Safi Sana, Jiko la kubana Matumizi hilo.Ukweni huku, Mama Mkwe anaandaa msosi View attachment 925864
Hahahaha😀😀😀 kuna eneo Shinyanga linaitwa Mascat, Waarabu wamejazana hapo balaa...
Sio Shehongwe au Shemdoe?Sis ukoo wetu hauna she
nimeoa huko,navuta picha zile chapati na samaki wa kuchemsha huwa naandaliwa na mama mkwe.dah!Ukweni huku, Mama Mkwe anaandaa msosi View attachment 925864

Hahahaha bwache, mnyoki (Kinyuli?!) my favorite. Kweme, magimbi dahYaani kijijini raha sana.
Mwingereza, afu raha yake uzipike chukuchuku huku pembeni una kanyama ka mbuzi au ng'ombe.
Kuna siku nilipita Mikocheni nikakutana na mbwembwe, nilizichumaje.
Mkojo huwa unasaidia Sana kuzistawisha saäana aiseeeeeAsante mpenzi.
Nyumbani raha sana.
Mboga za majani zinajiotea mpaka barazani
Ndugu yangu unafaidi sana na mimi kuna mmoja hapa jukwaani namuweka sawa nivute jiko niwe shuhuda wa raha za Tanganimeoa huko,navuta picha zile chapati na samaki wa kuchemsha huwa naandaliwa na mama mkwe.dah!![]()
Hahahahah hizo fitna sasakweli mila zinatofautiana, umewezaje kuingia jikoni kwa Mama mkwe !!! Kwa mila nyingine, hapo tayari ungekuwa umekosa mke.
kama ulikuwepo vile mkuu,kiukweli nafaidi haswaaaaNdugu yangu unafaidi sana na mimi kuna mmoja hapa jukwaani namuweka sawa nivute jiko niwe shuhuda wa raha za Tanga
Upate Uwono Bonge, Tembele, Nazi, wali, muhogo, Duh acha kabisa kuna samaki watamu Unaweza kula ukajikuta umekaa uchi kwa utamuhalafu Tanga kw kupika eeh noma
Mnanitamanisha sijui kama mwaka utaisha huu sijavuta jiko hukoUpate Uwono Bonge, Tembele, Nazi, wali, muhogo, Duh acha kabisa kuna samaki watamu Unaweza kula ukajikuta umekaa uchi kwa utamu
Halafu Tanga Hakuna Majina magumu ya Hasira hasira, hapana, utasikia Tanga Raha, Makorora Wadeka, Tanga Fresh, Siri yako, Fresh ya Shamba..... Ilimradi tu. Kule Hakuna Sijui KAZURA MIMBA (kuelekea Kigoma) Kagongwa - Shinyanga, Kahama AaghhNdugu yangu unafaidi sana na mimi kuna mmoja hapa jukwaani namuweka sawa nivute jiko niwe shuhuda wa raha za Tanga