Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,147
- 14,711
Kwani Korogwe na Handeni siyo Tanga? Na kama ni Tanga, swali langu lipo pale pale: "Kwani Wasambaa wengine wanatoka wapi?"...Kuna wasambaa wa kufoji kibao kule Korogwe (tamka 'Koh'ogwe') na pale Handeni.