Picha ya Siku, Tanga Raha

Picha ya Siku, Tanga Raha

Tanga kwetu huko , kuna makolola,Hamboni,nguvu Mali duga mikanjuni,sahare,mwakidila,mwahako, n.k
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini kama hiyo ni kweli Afrika, Tanzania!
Hilo jiko nyumbani kwetu kule kwe mifiu, kijiji cha Maringo, kwa vigingi, kata ya Malindi karibu na kwa Paul, Lukozi wilaya ya Lushoto, njia ya Mtae lipo.
Hayo majiko pembeni yanatumika kuweka mboga isipoe baada ya kupika.
Hapo tumetoka kuchuma mbwembwe na kabichi kwenye kitivo, tunapika chukuchuku...pembeni babu anakamua ng'ombe maziwa mengine anaweka kwenye kibuyu kugandisha mtindi.

Kijijini raha sana.
Msambaa asilia...
 
Hongera kwa ubunifu watu wa Mlalo,Mtae,Lukosi na Mgwashi.

Wasambaa wanambwembwe sana kuna hicho kijiji Mgwashi wanavyotamka unabaki unashangaa tu.
 
Hilo jiko nyumbani kwetu kule kwe mifiu, kijiji cha Maringo, kwa vigingi, kata ya Malindi karibu na kwa Paul, Lukozi wilaya ya Lushoto, njia ya Mtae lipo.
Hayo majiko pembeni yanatumika kuweka mboga isipoe baada ya kupika.
Hapo tumetoka kuchuma mbwembwe na kabichi kwenye kitivo, tunapika chukuchuku...pembeni babu anakamua ng'ombe maziwa mengine anaweka kwenye kibuyu kugandisha mtindi.

Kijijini raha sana.
Msambaa asilia...
Hongera😘😘😘😘
 
Hilo jiko nyumbani kwetu kule kwe mifiu, kijiji cha Maringo, kwa vigingi, kata ya Malindi karibu na kwa Paul, Lukozi wilaya ya Lushoto, njia ya Mtae lipo.
Hayo majiko pembeni yanatumika kuweka mboga isipoe baada ya kupika.
Hapo tumetoka kuchuma mbwembwe na kabichi kwenye kitivo, tunapika chukuchuku...pembeni babu anakamua ng'ombe maziwa mengine anaweka kwenye kibuyu kugandisha mtindi.

Kijijini raha sana.
Msambaa asilia...

Madame umenikumbusha mbogamboga za lushoto, ukiacha mbwembwe kuna nyingine inaitwa mwingereza ni tamu balaa
 
Back
Top Bottom