Mbona maji ya Ruvu ni hivyohivyo, siku moja nenda ukajionee.Wakichota maji ziwani kwaajili ya matumizi majumbani jirani na eneo ilipotokea ajari ya kivuko cha MV Nyerere ( picha na mwananchi/fb page)View attachment 876110
Ndugu hujui usemalo, ikitokea ukiwapo probability ya wewe ku - survive ni ndogo sana hata kma unajua kuogelea weee acha tu!Huu uzembe wa kushindwa kujifunza kuogelea utatucost sana, mzigo umezama Kariba kabisa na upwa ila wanyamwezi kibao wamerudisha namba kwa God kwa kushindwa kutanua kwapa na kufika upwa. Daaah!
Mimi natoka mapema sana kwa ule umbali wa meli ilipozamia! Nimeiva sana kwenye mambizi mkuu. Sema ndio hivyo siku ya kuondoka ikifika imefika tu.Ndugu hujui usemalo, ikitokea ukiwapo probability ya wewe ku - survive ni ndogo sana hata kma unajua kuogelea weee acha tu!
Kuogelea Umbali mrefu ulee aisee usichukuliee poaaa kabisaa!! Yangekukuta usingewaza huo ujingaaHuu uzembe wa kushindwa kujifunza kuogelea utatucost sana, mzigo umezama Kariba kabisa na upwa ila wanyamwezi kibao wamerudisha namba kwa God kwa kushindwa kutanua kwapa na kufika upwa. Daaah!
Mimi natoka mapema sana kwa ule umbali wa meli ilipozamia! Nimeiva sana kwenye mambizi mkuu. Sema ndio hivyo siku ya kuondoka ikifika imefika tu.
Ukiwa fit kuogelea hapo ni karibu mno.Ndugu hujui usemalo, ikitokea ukiwapo probability ya wewe ku - survive ni ndogo sana hata kma unajua kuogelea weee acha tu!
VIPI HAWA HAJAALIKWA KWENDA KUPATA CHAI?Wakichota maji ziwani kwaajili ya matumizi majumbani jirani na eneo ilipotokea ajari ya kivuko cha MV Nyerere ( picha na mwananchi/fb page)View attachment 876110
Huu uzembe wa kushindwa kujifunza kuogelea utatucost sana, mzigo umezama Kariba kabisa na upwa ila wanyamwezi kibao wamerudisha namba kwa God kwa kushindwa kutanua kwapa na kufika upwa. Daaah!
Hapana mkuu,taharuki,kushikwa na wasiojiweza,kugandamizwa na mizigo na wale waliokua deck la chini kukosa muda wa kutosha kuwahi kujiokoa. Inatajwa kuwa meli ilipinduka na kuzama ghafla,kwa hiyo hakukua na muda wa kutosha kujiandaa kwa walio wengi kujiokoa.Huu uzembe wa kushindwa kujifunza kuogelea utatucost sana, mzigo umezama Kariba kabisa na upwa ila wanyamwezi kibao wamerudisha namba kwa God kwa kushindwa kutanua kwapa na kufika upwa. Daaah!