Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,767
- 4,035
movie linakuja linaitwa "KAMA YA NAPE"
Natamani kusikia majibu ya Makonda kwa huyo waziri.
movie linakuja linaitwa "KAMA YA NAPE"
Anatapatapa.@="Chachu Ombara,
Ngoma ikilia San hupasuka Makonda days arenumbered
Baba Keagan ana mammlaka kwa mkewe tu na kwa mtoto wake kwa kweli.Hapo Makonda anahusikaje? Maana aliyetoa maelekezo ni Baba Keagan na si Makonda. Hapo ni watu tofauti; mmoja ana mamlaka mwingine hana. Ningekuwa mimi ningepuuza maelekezo ya Baba Keagan.
Unachokitafuta huwezi pata kwani umechelewa...hivi unashinda kesi kweli wewe?Hapo Makonda anahusikaje? Maana aliyetoa maelekezo ni Baba Keagan na si Makonda. Hapo ni watu tofauti; mmoja ana mamlaka mwingine hana. Ningekuwa mimi ningepuuza maelekezo ya Baba Keagan.
Umefika muda ukiwa nchi za watu unaona aibu kujisema wewe ni Mtanzania....
So Sad.
Kuna muda makonda pamoja hana elimu anavyeti vya Ku connect hua nampenda kwauchapaji kazi nakunikumbusha tena taaluma maranyingi haimsaidii MTU kua kiongozi(elimu)......kunamuda tena hua ananichafulia mbeleyangu hali yahewa......hapo shida ikowapi...Je kipanya anavochoraga katuni zamagufuli vile hua haoni.Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam, Paul Makonda kupitia ukurasa wake wa Telegram, kwa jina la Baba_Keagan amepakia ujumbe unaosema ''Naona mipaka ya kazi yako huijuwi. Nenda sasa hivi kituo chochote Cha polic uwambie Makonda kaniambie nije utakuta ujumbe wako''
Kupitia ukurasa wake wa Twitter, mchekeshaji Idris Sultan alipakia picha mbili za Rais Magufuli ambazo zimehaririwa na kuandika maneno haya "Kwa siku moja tukabadilishana kazi ili a-enjoy birthday yake kwa amani''
Ikumbukwe jana ilikuwa ni siku ya kusherekea mfanano wa siku ya kuzaliwa kwa Rais Magufuli na watu, taasisi na mashirika mbalimbali ya walituma salamu za siku ya kuzaliwa.
Kuna wengine walienda mbali mpaka kutengeneza video za utani, mfano Mchungaji muhuni, Masanja Mkandamizaji alipakia video ikimuonesha akiimwagia maji picha rasmi ya Rais Magufuli inayotumiwa kwenye ofisi,taasisi na mashirika mbalimbali kwa mujibu wa sheria.
======
UPDATES
Baada ya mchekeshaji Idris Sultan kutakiwa ajisalimishe Polisi, Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamisi Kigwangalla amesema yupo Tayari kumuwekea Mwanasheria wa kumtetea na kumdhamini Msanii huyo.
Ameyasema hayo kwenye Ukurasa wake wa Twitter. "Nimeambiwa kuna msanii wa vichekesho anatafutwa na polisi, akikamatwa mniambie, nitajitolea mwanasheria wa kwenda kumuwekea dhamana na kumtetea. Rais wetu ni mtu wa watu na imejidhihirisha kwa jinsi wananchi walivyojitolea kumuombea dua siku ya kuzaliwa kwake! Wameonesha upendo". Amesema Kigwangalla.
Narekebisha lugha aliyoitumiateacher tuache kidogo plz
tutakuja kwenye grammar badae badae
saivi tunajadili issue sensitive kwa lugha tunazozijua wenyewe
Sheria gani. EMbu iweke hapa tuijue.Ndio sultan atajifunziq sero ,kutokujua sheria sio sababu ya kutopata adhabu
Legal language ndiyo nini?Boss hapa inaongelewa sheria sio lugha... Unajua Legal language wewe?
HahahahKubishana na mabush lawyers sio sehemu ya maisha yangu
Aisee, same here. Naona aibu sana.Umefika muda ukiwa nchi za watu unaona aibu kujisema wewe ni Mtanzania....
So Sad.