Ujenzi wa SGR ya Mwanza na Dar wafikia 69.2%

Ujenzi wa SGR ya Mwanza na Dar wafikia 69.2%

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
613
Reaction score
554
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeeleza kuwa ujenzi wa SGR kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza umefikia asilimia 69.2%, hatua inayoonesha kasi kubwa ya utekelezaji wa mradi huo muhimu wa usafiri nchini


IMG-20260831-WA0032.jpg
 
Mzikankende aliwawahi wahuni kwenye swala la sgr vinginevyo wangetelekeza miradi
 
Back
Top Bottom