Picha ya Marafiki wa Lowassa

Picha ya Marafiki wa Lowassa

Comment yako imenishtua, hii Ni picha rasmi kabisa ya mbowe na Samia siku ya dira 2050. Kwa nn umehisi ya kutengenezwa? Umenishtua kutojua jambo kama hili mtu Kama wewe ambae ni mfuatiliaji wa siasa
Ikulu wenyewe ndio waliiweka, hata hivyo tukio lilikua live kote
View attachment 3461199

Chini nakuwekea na link ya ikulu usije sema nami nimetengeneza

View: https://www.instagram.com/p/DMNjHOCtzwE/?img_index=5&igsh=Zm1semhzb3lrYWtk

Ipo hivi mkuu, hakuna mtu anayejua kila kitu ila pia uelewe Kuna watu wanajua isipokuwa wanataka kufahamu kama unajua.

Sio siri tena inajulikana kinaga ubaga kuwa FAM ni mfanyabiashara mzuri katika siasa. Tokea alipompokea EL CHADEMA na akagombea Uraisi tulijua jamaa amefanya biashara yenye faida kubwa sana kwake binafsi.

Kwa issue ya project ya CHAUMMA ni uhakika pasipo shaka FAM amevuta mpunga mzito mnene ndio maana ametulia tuli hataki stress.

Refer kauli yake ya kutafuta mafwekweche(fedha) alikuwa amemaanisha si masihara.

FAM ameonyesha rangi yake halisi wala hajajificha hatupaswi kumshangaa hata wakati ukifika akisimama jukwaani kumpigia debe mgombea wa uraisi CCM.

Once a snake always a snake.
 
Sasa huyo so konda wao, wamemlea mwenyewe pale Habari Cooperations chini ya Rostam, labda Mzee Ulimwengu atuambie ilikuwake akaliuza gazeti pendwa la RAI Kwa Rostam
Palitokea sintofahamu mle ndani....kuna mzee mmoja kati ya waanzilishi wa Habari Corp ambaye baadae alikuja kuwa na cheo cha Msigwa enzi za JK, yule mzee ni sehemu ya mtandao...ile sintofahamu ndiyo hatimaye kampuni ikauzwa na RA ambaye awali alikuwa na shares Mwananchi, akaenda kuinunua na Bashe akafanywa CEO....It's all connected....!
 
Mimi sijawahi kumuona huyo Hemed zaidi Ya LIssu
Lissu hakua kampeni meneja wa Lowassa, sababu pia alikua mgombea ubunge. Pia tu hajawahi kuwa kampeni meneja wa mgombea yoyote wa uraisi.

Kampeni meneja wa Lowassa alikua Hemed Alli
Na
 
Kwani watu si wanatakiwa wafanye nini kuhusu kesi ya Lissu... Wewe kuhusu kukamatwa kwa Lissu mtizamo wako upoje?
"Paulo na Sila waliomba, milango ya gereza ikafunguka".

Kuhusu kesi ya Lissu wananchi hawatakiwi kuomba kama Paulo na Sila ila wanapasws kuchukua hatua ngumu.

Wagombea wa CCM wakipita huko majimboni wakikutana na makelele ya Lissu Lissu akili lazima ziwarudi.

Mashuleni, vyuoni, vijiweni, nyumba za ibada na sehemu zote lazima wananchi waimbe verse Moja ya Lissu kuachiliwa.

Hata hawa akina Polepole na Gwajima wasiwatoe watu wakamsahau Lissu.

Humu jukwaani JF naona siku zinavyokwenda kama tunamsahau Lissu.
 
Back
Top Bottom