Chibolo
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 5,768
- 8,037
Huyo si mwami jamaniiiiKiongozi mstaafu wa ccm b ~ subtitle by polepole
Huyo si mwami jamaniiiiKiongozi mstaafu wa ccm b ~ subtitle by polepole
ZZKKiongozi mstaafu wa ccm b ~ subtitle by polepole
Lissu alishajeruhiwa kumoyo kila mtu anaona ni adui yake na mtu wa namna hyo hawezi kuongoza nchi..bali anapaswa kutumiwa kuibua maovu...Ukweli mchungu.Edward Lowassa alikuwa ni mwanasiasa ambaye alikuwa na marafiki kutoka vyama vyote vya siasa.
Lowassa alikuwa na marafiki ndani ya CCM na nje ya CCM. Lowassa aliwafanya mahasimu wa kisiasa kukaa pamoja.
Jee nje ya urafiki wao na Lowassa , Freeman Mbowe, Zitto Kabwe,Hussein Bashe na Rostam Aziz maslahi yao kisiasa ni mamoja?
Tundu Lissu kwenye hizi connection hayumo?
View attachment 3460986
Ni kweli kabisa Polepole anajua mengi, hasemi yote kwasababu mengine yana kinga ya kiapo chake, ila kuna mengine ukweli anaujua, ila anapotosha kwa makusudi kwa ku sensationalize to create tension tuu, mfano mzuri ni kifo cha Magufuli, Polepole anajua kila kitu, A-Z, chanzo cha kifo, sababu za kifo, kilitokea lini, kilichomua ni nini, lakini ameamua kupotosha kwa kutaka kujenga hisia, ameuliwa na wahuni wa mtandao wa hatari, kitu ambacho sio kweli!Kabisa... Ila ingawa Pascal Mayalla anasema Polepole hasemi yote, aliyokwisha kusema tayari yanaleta maana...
Kuongoza nchi wanafaa watu aina ya Salum Mwalimu au Samia Suluhu siyo?Lissu alishajeruhiwa kumoyo kila mtu anaona ni adui yake na mtu wa namna hyo hawezi kuongoza nchi..bali anapaswa kutumiwa kuibua maovu...Ukweli mchungu.
Ni kweli kabisa Polepole anajua mengi, hasemi yote kwasababu mengine yana kinga ya kiapo chake, ila kuna mengine ukweli anaujua, ila anapotosha kwa makusudi kwa ku sensationalize to create tension tuu, mfano mzuri ni kifo cha Magufuli, Polepole anajua kila kitu, A-Z, chanzo cha kifo, sababu za kifo, kilitokea lini, kilichomua ni nini, lakini ameamua kupotosha kwa kutaka kujenga hisia, ameuliwa na wahuni wa mtandao wa hatari, kitu ambacho sio kweli!
P
Ulichelewa sana kufaham hili mkuu, huyu ni mwanamtandao mahiri sana na alipendwa sana na lowasa ndio nguvu ya Jk ikatumika kuigawa nzega iwe na majimbo mawili kwaajili ya kumzawadia basheSikuwahi kujua kumbe bashe ni mwanamtandao!
Zito sina shaka nae kwa mujibu wa pole pole
Bashe tena huyo ndo alikuwa mtu wa Lowasa kindaki ndaki na emanuel nchimbi,sophia simba etc,kuna kipindi bashe alikosana na kikwete akilaumu amemfehedhesha lowasa😆
Sema kumzawadia kingwangala,yaani baada ya mgawanyiko wa lowasa na jk,kingwangala alikua upande wa jk na bashe upande wa LowasaUlichelewa sana kufaham hili mkuu, huyu ni mwanamtandao mahiri sana na alipendwa sana na lowasa ndio nguvu ya Jk ikatumika kuigawa nzega iwe na majimbo mawili kwaajili ya kumzawadia bashe
Mkuu Pascal unaonaje ukitupa version yako ya ukweli kuhusu kifo cha Magufuli, tofauti na uongo wa Polepole kama ulivyosema.kifo cha Magufuli, Polepole anajua kila kitu, A-Z, chanzo cha kifo, sababu za kifo, kilitokea lini, kilichomua ni nini, lakini ameamua kupotosha kwa kutaka kujenga hisia, ameuliwa na wahuni wa mtandao wa hatari, kitu ambacho sio kweli!
Na kama pia ana Ithibati ya huo ukweli wake... Na Polepole naye kwa maelezo yako anaonesha alikuwa nje ya mfumo wakati wa mtiririko wa kifo cha Magufuli.Mkuu Pascal unaonaje ukitupa version yako ya ukweli kuhusu kifo cha Magufuli, tofauti na uongo wa Polepole kama ulivyosema.
Kaandaliwa na Rostam kitambo.. kuanzia kwenye gazetini, kaivaIla Bashe! Uwezo wake wa kubadili gia angani ni mkubwa sana. Yeye na Msukuma Kasheku.
Tabora akina Hamis Kigwangala- nzega na Seifu Gulamali - Igunga kwanini wametoswa? Je, sio vijana wa mtandao? Au wao ni sukuma gang team Magufuli?Sema kumzawadia kingwangala,yaani baada ya mgawanyiko wa lowasa na jk,kingwangala alikua upande wa jk na bashe upande wa Lowasa
Bashe alikuwa na nguvu kuliko hamiskingwangala,hivyo jk aliona kijana wake atakosa jimbo akaligawa😆
Kapuku kama Lissu HAWEZI kukubalika hapo! Watu Wana fweza yeye analeta mdomomdomo!!Edward Lowassa alikuwa ni mwanasiasa ambaye alikuwa na marafiki kutoka vyama vyote vya siasa.
Lowassa alikuwa na marafiki ndani ya CCM na nje ya CCM. Lowassa aliwafanya mahasimu wa kisiasa kukaa pamoja.
Jee nje ya urafiki wao na Lowassa , Freeman Mbowe, Zitto Kabwe,Hussein Bashe na Rostam Aziz maslahi yao kisiasa ni mamoja?
Tundu Lissu kwenye hizi connection hayumo?
View attachment 3460986
Sio tu kubadili, bashe ana mshukuru sana Ra kwa hicho cheo mpaka leo.Ila Bashe! Uwezo wake wa kubadili gia angani ni mkubwa sana. Yeye na Msukuma Kasheku.
Tundu lissu alikuwa campaign manager wa lowasa in 2015Edward Lowassa alikuwa ni mwanasiasa ambaye alikuwa na marafiki kutoka vyama vyote vya siasa.
Lowassa alikuwa na marafiki ndani ya CCM na nje ya CCM. Lowassa aliwafanya mahasimu wa kisiasa kukaa pamoja.
Jee nje ya urafiki wao na Lowassa , Freeman Mbowe, Zitto Kabwe,Hussein Bashe na Rostam Aziz maslahi yao kisiasa ni mamoja?
Tundu Lissu kwenye hizi connection hayumo?
View attachment 3460986
Wewe mzee ndio una jua Sana, kigwangala jeuri ili kuwa kubwa aki dhani ana kinga ya milele.Ulichelewa sana kufaham hili mkuu, huyu ni mwanamtandao mahiri sana na alipendwa sana na lowasa ndio nguvu ya Jk ikatumika kuigawa nzega iwe na majimbo mawili kwaajili ya kumzawadia bashe