Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,742
- 218,334
Huyu hapa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , akiwa na Askari baada ya kumaliza Mkutano wa Hadhara kwenye Jimbo la Kilolo, Mkoani Iringa.
Toa maoni yako.
Mmhh!!View attachment 2830919
Huyu hapa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , akiwa na Askari baada ya kumaliza Mkutano wa Hadhara kwenye Jimbo la Kilolo , Mkoani Iringa .
Toa maoni yako .
Karibu sanaMmhh!!
Naona mnawafuata askari na kupiga nao pichaView attachment 2830919
Huyu hapa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , akiwa na Askari baada ya kumaliza Mkutano wa Hadhara kwenye Jimbo la Kilolo , Mkoani Iringa .
Toa maoni yako .
Wao ndio wanatufuata sisiNaona mnawafuata askari na kupiga nao picha
Hivi kwa mwonekano huu sugu akiwa faragha tumbo na kifua ni kama puto kubwa wakati miguu ni kama sindano!View attachment 2830919
Huyu hapa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , akiwa na Askari baada ya kumaliza Mkutano wa Hadhara kwenye Jimbo la Kilolo , Mkoani Iringa .
Toa maoni yako .
Nje ya madaHivi kwa mwonekano huu sugu akiwa faragha tumbo na kifua ni kama puto kubwa wakati miguu ni kama sindano!
Haiwezekani.2025 tunachukua nchi pipoooz
wapi tulifanya vurugu ?Kwani mkiacha ujinga wa kutaka kufanya vurugu na kuleta fujo polisi watakuwa na neno gani na nyie? Mnaweza kupiga nao picha 24/7!
Kwa hiyo kura yako moja ?Haiwezekani.
AahàaaaaNaona mnawafuata askari na kupiga nao picha
Mmmh! Hii ni ndoto kama ndoto nyingine tu2025 tunachukua nchi pipoooz
Kwa lipi mkuuWao ndio wanatufuata sisi
Kura haziamui nani ashinde.Kwa hiyo kura yako moja ?
Nimecheka kwakweli2025 tunachukua nchi pipoooz