End time things.
More Picture
na wako vizuri tu,wana JF tufunge tusali hizi ni harama za mwisho wa dunia
Mungu atunusuru sisi na vizazi vyetu.Picha inaongea mambo mengi...sijui huyo mtoto anawaza nini? Probably "Losers"....May be.."Hata mimi nikiwa mkubwa nitaolewa na ..."
View attachment 126715
dah kweli dunia imevaa bukta
Bora ingevaa bukta ndugu yangu,mi naona kama imevaa chupi tena kichwani..