PICHA; Wanaharakati wa CCM Elimu Ya Juu Wapinga Mgomo wa Madaktari

Wanaandamanaje kwa Suala lililopo mahakamani kama baba yao(Serikali)alivyokwisha likataza kujadiliwa katika Bunge tunakoamini kuwa ndipo zinapopatikana haki zetu kwa kusemewa na Wabunge wanaotuwakilisha?
 
njaa itawamaliza hawa watu, hili sualas tumeambiwa liko mahakamani wao wanaandamana ili iweje

siyo mbaya hawa ndiyo wasomi tulio nao kama ni kweli ni wanachuo (chuo/vyuo havina hata jina huu ni uongo tu )
 
Back
Top Bottom