Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asenga AbubakarAboutTanzania ni nchi ambayo haikosi vituko! Mtu huwezi kukaa tu na kuwa bored! Nasema hiki ni kituko kingine kama cha komedi maana mwenye akili ataona moja kwa moja kuwa hao (vijana?) wametoka upande gani.
Nasema hivi kwa sababu nimesoma mabango ambayo wameyashika, sijaona bango hata moja linalohimiza serikali nayo kutimiza wajibu wake wa kuboresha afya nchini! Hilo bango huyo mama alilolishikilia linaonyesha tu kuwa hoja kubwa ya madaktari ni kutaka nyongeza ya mishahara.
Jambo kubwa, na ambalo linawagusa wote la kuboresha huduma za afya, wao haliwahusu. Ndio maana nasema vioja haviishi Tanzania...ze Komedi wapo wengi!
Employers |
|
---|---|
College |
|
High School |
|
|
Ulianza vizuri lakini sasa hapo UISLAM umeingiaje?
Ulianza vizuri lakini sasa hapo UISLAM umeingiaje?
Hao vijana uoni wao ni duni . wanakurupuka kudandia ndege kwa mbele ikiwa kwenye mwendo. sidhani kama wanajua mambo kwa upeo wa kutosha. wamejengwa na udini zaidi. ndo hawaoni Ridhiwani kumiliki mambo bila vielelezo au justification siyo issue. na watakuambia mnamuonea wivu tu hata kama kaiba benki kuuHakuna mwanafunzi wa chuo kikuu hapo
Mkuu Hebu ulizia Kama pilau lilikuwepo kwasababu baraghashia kwa mlo huo ni Noma hata maandamano yafanyikie Somalia wanazamaNaona baraghashia mbili tatu hapo!!
Na hili ongezeko la bei ya bia, tegemea vijana zaidi wenye akili matege kama hawa kuendelea kuuza utu wao kwa ajili ya kununuliwa bia tu.Hizi buku buku za nape zitawaumiza sana
Hakuna mwanafunzi wa chuo kikuu hapo
Kumbe hawa ndo wasomi wa CCM?!Kweli nchi hii inaongozwa na Nyani mikia hawa sio wanafunzi ni jumuiya ya uamsho ni kikundi cha waislamu wasiovaa hata nguo za ndani!Tena wachafu au ni wanafunzi wa madrasa?Elimu gani wanafundishwa na ni nani huyo anayewafundisha Boko haramu hawa!Emu waandamane kuelekea mabwe pande usiku!Mbona wanafanana na uamsho!