Picha: Wahaya mbwembwe mpaka harusini

Picha: Wahaya mbwembwe mpaka harusini

....

....ebwana weee si mchezo !!!

attachment.php
Ha ha ha Mwamba028 huyu jamaa kama wewe vile
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    6.2 KB · Views: 1,075
Last edited by a moderator:
Aroo mbona unamdhalilisha mshikaji wangu, huyu jamaa yangu bana. Wala sio mtu wa misifa, kumbuka hiyo ilikuwa sherehe ni lazima afurahie.
 
Kweli mtu awazacho ndicho kimtokeacho mawazoyenu ndo taswira yenu.
 
Jamani hawa ndugu zetu toka pande za Bukoba (Wahaya) wamezidi mbwembwe mpaka harusini huyu bwana harusi alileta mashauzi kwenye harusi kwa kuruka mpaka suruali ikachanika (ikatatuka) Aibuuuu!!!

Hivi Mbwembwe zake ni kwakuwa Ni Muhaya au ni za mtu binafsi? Ni Shidaaaaaaaaaaa
 
Jaman dooh, huyu jamaa namjua. Sifa anazo kidogo tuu hiyo harusi yake wahaya ndo wanachezaga hivyo.

By the way ameishi marekani'kwa sauti ya Muganyizi'.
 
This is a special day to him. It may not come again in his lifetime
He has all the reasons to celebrate a milestone in his life.

'Kuruka aruke Mmasai akiruka Mhaya ni misifa.' Pls kama hujui tamaduni za watu usi comment! Ungekaa kimya tungekuona una busara.
 
Haaa! Jamani mbona mnawafanyia hivi.jirani zangu! hapo bwana mhaya na bibi ni mchaga. ilikua ni furaha sana kwa kweli.
 
Jamani hawa ndugu zetu toka pande za Bukoba (Wahaya) wamezidi mbwembwe mpaka harusini huyu bwana harusi alileta mashauzi kwenye harusi kwa kuruka mpaka suruali ikachanika (ikatatuka) Aibuuuu!!!

Hivi kuenzi mila au kuonesha furaha ni mbwembwe?
 
Camera man popote alipo heshima kwake kwa picha ya kwanza
 
Hahahajaj.....hajajajaja......inasemekana mruko huo ulitokea dakika chache baada ya baba paroko kumkabidhi jamaa jiko

hahahahaja.......hakuamini......hatareeeeeee.....
 
Nimecheka sana jinsi watu wanavyoweza kuja na tafsiri tofauti kutoka kwenye picha moja...wengine anafurahia papuchi, wengine ni mshtuko baada ya kukabidhiwa jiko na baba paroko, wengine ni mbwembwe za kitamaduni, etc...
 
Jamani hawa ndugu zetu toka pande za Bukoba (Wahaya) wamezidi mbwembwe mpaka harusini huyu bwana harusi alileta mashauzi kwenye harusi kwa kuruka mpaka suruali ikachanika (ikatatuka) Aibuuuu!!!

dah nimecheka sana asubuhi hii nikiwa barabarani kuelekea kibaruani kwangu kwa mhindi...huu uzi toka jana nilikuwa napuuza kuufungua.sikujua kama ningeburudika japo hilo la kuchanika surualini kama umeongeza chumvi kunogeasha thread.
hao ndio akina "mutabuzi" bhanaaa.
 
Back
Top Bottom