amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,275
😀
Hivi unawajua senene.
Ni chakula cha kitajiri hapo walikuwa ina ni zawadi kwa maharusi zawadi babkubwa.
ilikuwa kwenye schedule...
sijaona tatizo hapo liko wapi! lol...
mbona mizungu inafungu ndoa ikiwa uchi wa mnyama mbuzi?
hivi kulikuwa na senene kweli?
Hivi unawajua senene.
Ni chakula cha kitajiri hapo walikuwa ina ni zawadi kwa maharusi zawadi babkubwa.