Nitaenda Misaa yaTatu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2025
- 403
- 811
Mwingine alikuwa anenda sijui wapi huko Daslam akapandishwa gari za mlandizi akafie mbele huko
Mwingine alikuwa anenda sijui wapi huko Daslam akapandishwa gari za mlandizi akafie mbele huko
Wazee wameuvaa mkenge😄😄Mwingine alikuwa anenda sijui wapi huko Daslam akapandishwa gari za mlandizi akafie mbele huko
Ilo tabasamu mtu anachekea tumboni kukomesha wazee wanafiki😃😃😃Baada ya Wazee kuhudhuria mkutano wa Rais Samia na kuonyesha kumuunga mkono kwa kupiga makofi na vigeregere kwa kila aliloongea. Vijana wameamua na wao kutowaunga mkono wazee kwenye madaladala.
View attachment 3511665
😂😂😂😂Dawa saiv wakija pharmacy anataka dawa ya pressure unampa ya UTI..
Baada ya Wazee kuhudhuria mkutano wa Rais Samia na kuonyesha kumuunga mkono kwa kupiga makofi na vigeregere kwa kila aliloongea. Vijana wameamua na wao kutowaunga mkono wazee kwenye madaladala.
View attachment 3511665
Walivyokuwa wanasapoti na kuupigia makofi ujinga ule ni ustaarabu ule? acha unafikiUnaweza kushtakiwa kwa ujinga kwa kupiga picha na Mzee wa watu na kumzalilisha, huu sio ustaarabi na siungi mkono huu ujinga hata kidogo!
Walivyokuwa wanasapoti na kuupigia makofi ujinga ule ni ustaarabu ule? acha unafiki
Sema mazee ya CCM na mashehe ubwabwa bwana! Sisi wengine mbona tunajielewa!Mazee ya Tz mapumbavu sana , hapo lilivokaa unaweza jua linawaza maisha, kumbe linamuwaza kipenzi chake samuya na nyeto..pelekea moto hayo mazee ya makamo maamae
Mmmh, mkuu unataka kutumaliza hata Sisi wa mikoani?Dawa saiv wakija pharmacy anataka dawa ya pressure unampa ya UTI..
KabisaHii ngoma inazidi kupamba moto.