Picha: Viongozi wa CUF watinga Ikulu leo!

Picha: Viongozi wa CUF watinga Ikulu leo!

Sikujua kwamba walikuwa siriazi kiasi hiki. Nilifikiri ni utani! Sasa watainga kila kitu kutoka CDM
 
na samaki wa kuchemsha..kumbuka ferry haiko mbali!......

hawa wapinzani wetu mpaka rrrraha!

Ha! Ha! Ha! Utanipasua mbavu Webby..

Utasikia JK anawambia mje kesho asubuhi tumalizie mazungumzo..

Asubuhi unavyojua tena chai ya Ikulu watapiga supu ya jodari na chapati, mazungumzo yanaisha..

JK msaani kweli...
 
Mkuu Mwita25 wakati mwingine cjui unavutaga ile kitu ya Mpwapwa hata sielewi,kwani ww haujiulizi hawa waendao Ikulu si ndio hawa walopitisha ule Mswada kwa mbwembwe zote na wale CCM A?

Bora hata angekua anavutia mdomoni au puani,...anatumia masaburi kuvuta bange
 
nao hawakuridhika na maamuzi yao wenyewe pale mjengoni?
 
Hawa angalau wanaonyesha wanaenda kuzungumza kitu cha maana sio magwanda attention seekers!!!! Tunaomba mtuonyeshe na ajenda zenu tuzisome pia.
 
CUF wanatumiwa na CCM kuchochoa ugomvi ili CCM iendelee kutawala. Huyu Mnyaa si ndiye aliyekuwa kinara wa kuporomosha maneno bungeni badala ya kuchangia muswada? Anaenda kuchukua notes ili atukane zaidi kwenye kikao kijacho cha bunge? Na mwenyekiti wao yuko wapi?
 
ni wananchi wenzetu (watanzania) waache na wao wakatoe dukuduku
 
inashangaza wadau hiki chama cha siasa,walishiriki kikamilifu bungeni,wamesahau nini au kuna lolote la kwao halikuwamo kwenye yale majedwari ya marekebisho?
 
Lissu + Mnyika walipombana vya kutosha JK alisikika akisema "ni kweli mna hoja za msingi, lakini nisipo saini wenzangu kwenye chama hawatanielewa!". Chezea kombati nini wewe?
Kama kawaida JK anawapa Juice ya machenza na kahawa ya Yemen, watatepeta kma wenzao Chadema JK bana toto ya mujini
 
wanaenda kujipinga wenyewe, kwa aibu ndo maana hata hawajaweza kutoa hata ajenda za kwenda ikulu, kweli kudesa ni noma. si ajabu hata majina waenda kujitambulisha kama Lisu, mnyika nk, nyie mtasikia. yaani wangezea hata idadi ya wajumbe wa kwenda ikulu, kweli KAFU Kafa.
 
Ni CUF waliotangulia kumuona Rais Ikulu ya Zanzibar enzi la Amani Karume. Hii itakuwa safari yao ya pili kwenda Ikulu kwa ziara za chama. Chadema ni mara yao ya kwanza. Ni chama kipi cha upinzania kimeweka kumbukumbu ya kufanya ziara kwa mara ya kwanza tangia mfumo wa vyama vingi uanze mwaka 1995
 
wivu mbaya, kwaaaakwaaahaaaaaaaaaaaah jamani mbavu zangu!!, itakua kwenda ikulu ndio za kumalizia mwaka kwa upande wa upinzani.
TZ oyeeeeeeeeeeeeeeee
 
Natia shaka unafiki wa watu hawa kwa mustakabali wa nchi yetu.
 
leo ijumaaa wameenda kusali sala ya ijumaa na jk ,ikulu kuna msikiti mdogo msiwe na hofu hawana jingine walisha sema ndioooooooooo
 
23k6ihx.jpg


Interesting....
 
sasa naanza kuona kwamba hata chadema wakishika dola hatutapata unafuu kwa suala la ubaguzi. chadema na CUF kila mmoja hataki mwingine kwenda Ikulu je wakishika dola nafikiri ndio utakuwa mwisho wa siasa za vyama vingi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom