Picha: Ulinzi mkali ulivyo Dodoma

Picha: Ulinzi mkali ulivyo Dodoma

nahamu siku nione pambano lahawa jamaa na wakali wenzao,maana sisi tusiojua kurusha hata ngumi wanatutisha kweli
 
Tz ni nchi inayongoza kwa vta vya chinkwachin na hao wala cyo pilisi hao ni jesh wamepewa gwanda za polis ndg walevwotebunawaona ktk msafara wa magufur ni wana jesh tia pua uhumie
Sasa kwanini wavae za polisi kwani wao combat haziwatoshi????
 
Wanataka macho yao na yako yasigongane ana kwa ana,pindi wanapokupa mkong'oto ili wasikuonee huruma.

ahhahahahah hapo umepatia tena wanaweza kukupiga bomu bila hata kufikiria mara ya pili hapa tuinvest na sisi mawani zetu tuwe atleast tumemach kwenye mawani
 
Sasa ulinzi woote huo wann watu wa dodoma wakarimu tuu hawanaga natatizo na mtuu fisiem bhana Hawajiamini sijui kwann
 
Tz ni nchi inayongoza kwa vta vya chinkwachin na hao wala cyo pilisi hao ni jesh wamepewa gwanda za polis ndg walevwotebunawaona ktk msafara wa magufur ni wana jesh tia pua uhumie
Kwa hiyo polisi hawawezi kuweka ulinzi imara??
 
Back
Top Bottom