masluphill
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 540
- 259
Nilishituka kusikia ''FUNIKO'' nikajua vijana wame asi kumbe ni hawa NDEMBE NDEMBE-Khanga MOKO-Laki si PESA.hapo ni Tg -K Kwa mk'o.Hao ni vidumu wa mafisadi ACHA WAGAWIANE DHULUMA.nguvu ya umma inakuja.mta tajana mmoja baada ya mwingine.
Katika hii picha sera gani tena hapa CCM wanaleta?? kwenye kiti kina mama wanafanya nini tena!