Traffic waliopo barabara kuu eneo la Bwawani Chalince-Morogoro wakipokea rushwa. Raia mwema aliyesafiri na kuwanasa hawa traffic wakipokea rushwa alikaa kwa muda katika eneo hili na kuwapiga picha. Vijana walioandaliwa wakijishughulisha kama wanasafisha gari ili kuwa kizingizio huku wao wakiendelea na zoezi la kukabidhiana rushwa. Askari hao baada ya kubaini mdau huyo amewapiga picha walimfuata ndani ya bus alilokuwemo na kuanza kupambana naye lakini mpiga picha aliwazidi ujanja na kuwashinda. Kairusha picha hii kupitia mdandao wa Michuzi.