Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,416
i think she iz single and free ndio maana anaonekana bado hot kwa mbaali...ila ukim zoom utatamani ukimbie
heee huyo ni yeye?mbona amekuwa na kamvuto kwa mbali.usiniambie kunyagi inanidanganya
i think she iz single and free ndio maana anaonekana bado hot kwa mbaali...ila ukim zoom utatamani ukimbie
Kwa waislaam wananguo nzuri kabibi kamependeza
Kapendeza mama wa Watu kwa kuvaa hijabu mashallah Candid Scope
Ayahhhhhhhh, kashaharibu, ukivaa hiyo kitu hutakiwi kutoa mkono hovyo hovyo. hivi waliomvalisha hawakumwambia?
Anaonekana msichana mbichi kabisa, mavazi jamani hubadilisha ndo maana wenzetu wanalipendelea vazi hili.
Kapendeza.
Mh jamani kweli ukipenda,chongo unaita kengeza!
Anaonekana msichana mbichi kabisa, mavazi jamani hubadilisha ndo maana wenzetu wanalipendelea vazi hili.