PICHA: Siamini ninachokiona, nimacho yangu au...

PICHA: Siamini ninachokiona, nimacho yangu au...

Internet-Money

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2021
Posts
623
Reaction score
1,320
ANGALIA PICHA CHINI , KABLA YA KUSOMA
Jamiiforum mbona ni copy na paste ya forum blackhatworld .com
Haya si ndo ya mambo ya kununua source code au ku-download Nulled script?
Kama ndiyo wapo wapi wasomi wa bongo?
Haya ya mambo za ku-copy na ku-paste sio mazuri kwa sababu mwisho wa siku unashindwa hata kuongeza feature ( unaishia ku-customize )
Ifike mahali Tanzania izalishe programmer watakaoshinda na watu kama wa Kenya , Vietnam , Russia , USA , India

Screenshot_20230412-074712.png


Screenshot_20230412-074545.png


Screenshot_20230412-074438.png

Screenshot_20230412-074311.png


Screenshot_20230412-073731.png

Screenshot_20230412-073630.png
 
Mbona unawafokea?
Kwa tafsiri yako.

Nikimcheki Melo - huwa namwona kama role model wa Tech TZ.
Kwa sababu ameamua kutaka umaarufu kwa kupitia Tech -

Sasa akianza kutumia source code za mtu mwingine tena kwa 99%
Inasikitisha
Hata icons , layout vyote hajabadilisha - ka-upload source code kama ilivyo
 
ANGALIA PICHA CHINI , KABLA YA KUSOMA
Jamiiforum mbona ni copy na paste ya forum blackhatworld .com
Haya si ndo ya mambo ya kununua source code au ku-download Nulled script?
Kama ndiyo wapo wapi wasomi wa bongo?
Haya ya mambo za ku-copy na ku-paste sio mazuri kwa sababu mwisho wa siku unashindwa hata kuongeza feature ( unaishia ku-customize )
Ifike mahali Tanzania izalishe programmer watakaoshinda na watu kama wa Kenya , Vietnam , Russia , USA , India

View attachment 2585011

View attachment 2585012

View attachment 2585013
View attachment 2585015

View attachment 2585016
View attachment 2585018
Ni maamuzi ya mtu kutumia tool flani kufanikisha takwa lake.

Swala la kuongeza feature ni rahisi na inategemea na developer alionao ni wazuri kiasi gani kwenye kufanya modifications ya code kwa features zisizokuwepo.

Kwa forum kama hii haiwezi kuwa imeandikwa kwa style isiyoruhusu additional code japo haikutumia backend framework yoyote ni pure php .

Nb:
Jamaa alipiga hesabu zake vizuri miaka hiyo kukiwa hakuna ushindani mpaka leo hii Tanzania hakuna forum inayosimama juu ya jamiiforums.
 
Ni maamuzi ya mtu kutumia tool flani kufanikisha takwa lake.

Swala la kuongeza feature ni rahisi na inategemea na developer alionao ni wazuri kiasi gani kwenye kufanya modifications ya code kwa features zisizokuwepo.

Kwa forum kama hii haiwezi kuwa imeandikwa kwa style isiyoruhusu additional code japo haikutumia backend framework yoyote ni pure php .

Nb:
Jamaa alipiga hesabu zake vizuri miaka hiyo kukiwa hakuna ushindani mpaka leo hii Tanzania hakuna forum inayosimama juu ya jamiiforums.
Mbona unazunguka
Sema kanunua source code

Hata wewe unaweza ukanunua na uka-upload

Kuna ugumu gani kwenye ku-upload
 
ANGALIA PICHA CHINI , KABLA YA KUSOMA
Jamiiforum mbona ni copy na paste ya forum blackhatworld .com
Haya si ndo ya mambo ya kununua source code au ku-download Nulled script?
Kama ndiyo wapo wapi wasomi wa bongo?
Haya ya mambo za ku-copy na ku-paste sio mazuri kwa sababu mwisho wa siku unashindwa hata kuongeza feature ( unaishia ku-customize )
Ifike mahali Tanzania izalishe programmer watakaoshinda na watu kama wa Kenya , Vietnam , Russia , USA , India

View attachment 2585011

View attachment 2585012

View attachment 2585013
View attachment 2585015

View attachment 2585016
View attachment 2585018
No need to reinvent the wheel.
 
Kwa tafsiri yako.

Nikimcheki Melo - huwa namwona kama role model wa Tech TZ.
Kwa sababu ameamua kutaka umaarufu kwa kupitia Tech -

Sasa akianza kutumia source code za mtu mwingine tena kwa 99%
Inasikitisha
Hata icons , layout vyote hajabadilisha - ka-upload source code kama ilivyo
Forums nyingi wanatumia Xenforo mfano ni hiyo blackhatworld, Kenya talk nk, zamani walikuwa wanatumia mfumo WA vbulletin. Halafu hiyo software unainstall kwenye server na bhw na wamefanya hivyo hivyo. Kitachobalika ni template, yaani kama vile wordpress inavyofanya kazi
 
Forums nyingi wanatumia Xenforo mfano ni hiyo blackhatworld, Kenya talk nk, zamani walikuwa wanatumia mfumo WA vbulletin. Halafu hiyo software unainstall kwenye server na bhw na wamefanya hivyo hivyo. Kitachobalika ni template, yaani kama vile wordpress inavyofanya kazi
Ni sawa na kutumia blogspot au WordPress au CodeCanyon .
Huo Ni udhaifu

Ni bora ufanye donation ya code , site uijaze vitu vya uhakika
Yani tokea miaka ya 2000 hadi leo site haina video player ,

Una-upload source code tu
 
Ni sawa na kutumia blogspot au WordPress au CodeCanyon .
Huo Ni udhaifu

Ni bora ufanye donation ya code , site uijaze vitu vya uhakika
Yani tokea miaka ya 2000 hadi leo site haina video player ,

Una-upload source code tu
Inategemea sasa na lengo la wamiliki na mtumiaji anayelengwa, kwani bhw inayo video player
 
Back
Top Bottom