Picha : Serikali mna mpango gani kuwajengea uwezo vijana wabunifu kama hawa..

chakii

JF-Expert Member
Sep 15, 2013
19,682
22,685
Habari wanabodi

Hii picha nimeipiga eneo la Tabata mataa kila mtu alikuwa anashangaa kuona chombo cha aina hii.

Hapo zimetumika injini mbili za pikipiki huku zikiwa zimeunganishwa kwa pamoja kwa ubunigu wa hali Juu.


RAI : Serikali ifike wakati muanze kuwajengea uwezo watu wa aina hii ili kuweza kuweza kutumia vyema vipaji na uwezo wao kwa faida yao, jamii na nchi kwa ujumla.


uploadfromtaptalk1467564292587.jpg
uploadfromtaptalk1467564313258.jpg
 
mimi naweza.zaidi.ya.hapo..niweze kufanya overall ya injini kubadilisha ring pistons inishinde kuunga ingine..gearbox..differential kitu kitembee..usimtukane mtu kabla ya kumfahamu
 
mimi naweza.zaidi.ya.hapo..niweze kufanya overall ya injini kubadilisha ring pistons inishinde kuunga ingine..gearbox..differential kitu kitembee..usimtukane mtu kabla ya kumfahamu
Mwana ila na wewe umekosea kama na wewe unajua kufanya zaidi ya hvyo halaf haufanyi ni kazi bure..."nguvu ya elimu ina umuhimu pale elimu IKITUMIKA"
sio unakosoa unga na wewe tuone au kama unacho chako tupia tukupe respect.....
Unaonesha una wivu
 
sawa nimewaelewa makurugenzi..Mimi ni fundi mkongwe..nakata gear box..nabadilisha inset..shocknicers...hub sleeve...pressure plate..clutch plate..top shaft..hahaa.....hapo kwenye engine napiga..valve seal...piston rings...piston..connecting rings...grankshafts..cane shafts...hahaaaa
 
Habari wanabodi

Hii picha nimeipiga eneo la Tabata mataa kila mtu alikuwa anashangaa kuona chombo cha aina hii.

Hapo zimetumika injini mbili za pikipiki huku zikiwa zimeunganishwa kwa pamoja kwa ubunigu wa hali Juu.


RAI : Serikali ifike wakati muanze kuwajengea uwezo watu wa aina hii ili kuweza kuweza kutumia vyema vipaji na uwezo wao kwa faida yao, jamii na nchi kwa ujumla.


View attachment 362609View attachment 362610
Ikija SKU tukapata viongozi wenye vision na mission Tanzania tungetengeneza hata ndege tukawauzia mataifa mengine
 
jamaa ni mkali kwa kwelii..cio mchezo..nimeamua kujua vinywa vyenu vinamatusi gani..na mnabusara kiasi gani...yaishe wakuu wangu
 
ci yameisha wakuu..mbona majungu..hamtaniwi aisee..nisingecomment ningejuaje kuwa mpo online..duh
 
mi nikajua katengeneza ndege inapaa kumbe hizi takataka tu ,kwanza ngoja trafik wamkamate sidhani kama hiki chuma chakavu kinachotambaa kimesajiliwa,
 
Registration yake ipoje tra maana ni vyombo viwili vyenye usajili tofauti (ni ndoa ya pikipiki)
 
mimi naweza.zaidi.ya.hapo..niweze kufanya overall ya injini kubadilisha ring pistons inishinde kuunga ingine..gearbox..differential kitu kitembee..usimtukane mtu kabla ya kumfahamu
Kama unaweza si ungefanya tuone jomba sio kukandia wanayofanya wenzako. Ova
 
Back
Top Bottom