Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
View attachment 372591Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda kwa mara nyingine tena amegonga vichwa vya habari baada ya picha yake akicheza mpira, kusambaa kwenye mitandao ya kijamii Africa Mashariki.
Ni siku chache tu tangu Rais Museveni alipokuwa gumzo kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuonekana akiongea na simu pembeni ya barabara.
Watu wengi wamekuwa wakituma picha zao kuiga kile Rais Museveni alichofanya ambapo vingi ni vya kuchekesha.
Ni siku chache tu tangu Rais Museveni alipokuwa gumzo kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuonekana akiongea na simu pembeni ya barabara.
Watu wengi wamekuwa wakituma picha zao kuiga kile Rais Museveni alichofanya ambapo vingi ni vya kuchekesha.