Mr Dhaifu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 778
- 184
Uliwahi ona wapi kamanda wa mafunzo na uchunguzi ana kitambi huyu Chagonja hana akili kabisa anatatua matatizo kwa kutengeneza tatizo kitambi hiki kwa ajili ya rushwa tu halafu hana aibu wao police ndio wameua then wanataka kujichunguza wao upuuzi kabisa huo.