Picha-Polisi wapiga mabomu ya machozi Arusha

Picha-Polisi wapiga mabomu ya machozi Arusha

Hakuna control yo yote ya hili jeshi.
Wanaua watu hovyo
Wanauza madawa ya kulevya, bangi nk
Wanabambikizia watu kesi na vichwa vya watu

Jeshi gani hili lilisilo na nidhamu.
 
Hii mikutano yao wanayofanya wakimaliza wanazusha vurugu ili wapate kuwaibia watu wanaingia madukani mahotelini kupora hata ukikutwa barabarani wanakuvamia na kukupora ndo makamanda hao???? Akili kunkichwa!
 
Hvi sisi wananchi hakuna sehemu tunaweza kupata siraha? ili ngoma iwe droo?
 
hiki ki2 kwa mti wa mkoani anaweza kukichukulia poa but hawa polisi jana niliwachukia na kama ningepewa silaha hata bomu la kurusha kwa mkono ningelirusha kwenye defender moja ya kwao jana...nikiwa natoka job tanesco nimepata shida sana kufika nyumbani maeneo ya technical upande wa triple a...lakini lililonifanya niwachukie kupita nikiwa mwenyewe barabarani maeneo ya makao mapya karibia na shule ya levolosi lilikuja defender nikiwa najiamini kuwa wanapita mara wakaanza kunidirect na kuanza kurusha risasi zao ikabidi kuanza kukimbia but swala ni kwamba je ni kwa nini walirusha.....i hate dis govrnmnt.......i hate ccm....whnvr chdm wawe sawa or not but police hawakutakiwa kufanya walichofanya jana....watu wamikoani kutetea police nawaona wapuuzi tu
 
Wadau,
Nimekaa, nikatafakari juu ya taarifa inayohusu mlipuko huko Arusha na kujiuliza maswali haya bila jibu:
  1. Ni kwa nini Polisi waende kwenye mkutano wa hadhara (kama huo wa huko Arusha) huku wakiwa na silaha za moto?
  2. Je? Sheria za ulinzi na usalama hasa zile zinazowasimamia Polisi zinasemaje kuhusu ubebaji na utumiaji wao wa silaha za moto?
  3. Hata kama ni kwa kujihami na fujo za raia, yale maji ya kuwasha, risasi za plastic, virungu, n.k viko wapi mpaka watangulize silaha za moto?
  4. Hao viongozi wetu (Pinda, Kikwete, Lukuvi, n.k) ambao mara kwa mara wamekuwa wakiwakingia kifua hawa Polisi wanaoua raia mara kwa mara nao hawajui hizo sheria? Au wao ndio wanaowatuma? Mbona watu kama Pinda na Kikwete hawafananii kuwa na roho kama hizo? (Labda Lukuvi).
  5. .........? :shock:

Naomba mnisaidie kupata majibu ili roho yangu itulie kwenye msimamo mmoja! Ahsanteni.
nina uhakika huwezi kupata majibu hayo kwa maana uliowaelekezea hayo maswali kwenye memory zao hakuna msamiati unaoitwa 'HAKI ZA BINADAMU'

 
Nimekoswa risasi hapo karibu na kwenye maduka ya kwenda stand ndogo!!
Nilikuwa natokea ofcn kwangu mitaa ya stadium. Difender ikaja kwa kasi pasipo mimi kujua wakati navuka barabara kuelekea stand ndogo. Jamaa walikimbia na nilikuwa wa mwisho kukimbia.
Nilisikia sauti piga risasi huyo wa mwisho?! Kugeuka akawa anajiandaa kwa kushusha kioo na kuninyooshea bunduki.
Nikalala chini! Nikasikia sauti tena mfuate palepale?! Kunyanyua kichwa akawa anafungua mlango ashuke!
Nikanyanyuka na kuingia duka jirani na kujifungia!!
Wakaondoka??!
pole ndugu yangu
mm niliwahi kuwa na hali kama hiyo hapa znz natoka kazini hata sijui kuna nn kikaelekezewa bomu la machozi mwilini MUNGU mkubwa halikunipata nikamwambia mwezangu niliyekuwa nae tusisimame watatuuwa hawa wandawazimu, yeye alitaka tusimame akidhani tutasalimika wapiiii kuazia siku hiyo nikajua tuna polisi wa aina gani na nilidhani mambo haya yatafanywa ZANZIBAR tu
maisha yetu waTZ yamekuwa PRICELESS chini ya UTAWALA WA CCM
WAIT AND SEE POPULAR UPRISING IS COMING SOON
 
Tangu vita vya Kagera watu hawajaona vita kwa hiuo wamesahau ndiyo maana wanaitafuta vita kwa udi na uvumba. Waulizeni watu walokuwa Kagera ndipo mtajua madhara ya vita. Tena vita ya wenyewe kwa wenyewe ni mbaya zaidi iwa kuwa huwa haiishi. Jamani. Tusifike huko.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums


Bora tufike huko ili tuanze upya, na watakaobaki wapate ajira na kuheshimiana, hatuna budi kwenda huko ili kupata nafasi ya kurekebisha mfumo huu dhalimu uliojijengea mizizi.
 
Pole na hongera kwa kuepuka kudhuriwa

Asante mkuu!! Yaani mtu akikusimulia utahisi ni km movie flani hivi?! Mpaka sasa ile taswira imekataa kunitoka! Nikikaa naisikia ile sauti. PIGA RISASI HUYO WA MWISHO?!
 
pole ndugu yangu
mm niliwahi kuwa na hali kama hiyo hapa znz natoka kazini hata sijui kuna nn kikaelekezewa bomu la machozi mwilini MUNGU mkubwa halikunipata nikamwambia mwezangu niliyekuwa nae tusisimame watatuuwa hawa wandawazimu, yeye alitaka tusimame akidhani tutasalimika wapiiii kuazia siku hiyo nikajua tuna polisi wa aina gani na nilidhani mambo haya yatafanywa ZANZIBAR tu
maisha yetu waTZ yamekuwa PRICELESS chini ya UTAWALA WA CCM
WAIT AND SEE POPULAR UPRISING IS COMING SOON

Duuh?! Asante.. kuna rafiki yangu ni askari nimeongeanae mida ya asubuhi. Akaniambia ni agizo walipewa jana la kuua na kubeba na kufuta damu, kwa kupoteza ushahidi...
 
Anayeua sio polisi ila ni raisi kikwete na serikali yake kwa hiyo usitegemee police wakamatwe. Kama police wanaua bila raisi kuweka wino ungeona wanavyoshughulikiwa na dola. Ukiua bila kutumwa na raisi hata dakika tano haziishi utakuwaumeshakamatwa na kushughulikiwa.
 
nguvu kubwa maarifa kidogo na busara ndiyo hakuna kabisaaa nchi hii bure kabisa
 
Duuh?! Asante.. kuna rafiki yangu ni askari nimeongeanae mida ya asubuhi. Akaniambia ni agizo walipewa jana la kuua na kubeba na kufuta damu, kwa kupoteza ushahidi...
WAMISRI walifika pahali wakakubali wengine wafe ili kulinda maisha ya wengine wasife. ilipofikia hapo, misri ikachemKa,mubarak akauwa sana lakini matokeo yake EGYPT WILL NEVER BE THE SAME AGAIN. MUBARAKA atafia gerezani akiyashuhudia yale aliyo yaogopa yasitokee wapizani wake kushika madaraka.. ccm.....ccm ccm ...mnamwaga au kusababisha damu ya watz kumwagika ovyooo dawa yenu isachemka bado wa kuwanywesha tu hajawa tayarii anahifia nchi itakunja uso wakati wa kuwanywesha dawa chugu
 
Back
Top Bottom