Picha; Ninauza kitanda na dinner set Hizi hapa.

Picha; Ninauza kitanda na dinner set Hizi hapa.

We jamaa kauzu duh! Yani unauza vitu vya hivyo hata hujaosha? Ona hiyo meza..aiseee boresha piga hata varnish ipendeze punguza ukauzu
 
Mkuu ulikuwa unaishi kwenye tope nini?
Hata hivyo kibiashara ulitakiwa uvifanyie usafi kwanza.
Nimehamia kwenye nyumba yangu mpya hivyo kuna baadhi ya vitu nililazimika kuviacha nje na kuanza kutumia furrniture mpya hivyo hivi vilikaa nje kwa muda mrefu that's why vinaonekana vichafu na vyenye tope. BT its ll gud.

Nimepokea ushauri wenu, next time navichapa na maji then vinakula na varnish afu tuone kama mtaruka tena.
 
Navihitaji kwa gharama yoyote nipo namtumbo nitavipataje?
 
Tutauza hadi magodoro ndo hali halisi. Ungekuwa bongo meza na viti vyake ningekupa 70,000/=
 
Navihitaji kwa gharama yoyote nipo namtumbo nitavipataje?
Namtumbo huko huwa kuna magari ya coca cola yanakuja basi huwa hawana maneno jamaa ukiwapa chao wanafikisha mzigo very comfortable na kwa wakati.

Kama kweli huko serious na pia ni potential customer niambie nikubalansie na bei ya kununulia mkuu. Sina kazi navyo vitachakaa hapa home tu.
 
Back
Top Bottom