Picha; Ninauza kitanda na dinner set Hizi hapa.

Picha; Ninauza kitanda na dinner set Hizi hapa.

Huyo jamaa huwa anapenda sifa saana...namfananishaga na "Mbuta nanga" yaani.
Hivi wewe kumbe ndiye muanzisha thread?
Wallah nilikuwa sijui.
Nimeshangaa unavyojibu ikabidi nifuatilie author
 
Namtumbo huko huwa kuna magari ya coca cola yanakuja basi huwa hawana maneno jamaa ukiwapa chao wanafikisha mzigo very comfortable na kwa wakati.

Kama kweli huko serious na pia ni potential customer niambie nikubalansie na bei ya kununulia mkuu. Sina kazi navyo vitachakaa hapa home tu.
Sisi ukoo wetu MTU akifariki tunamwekea kitanda dinning table blanket na vikombe akatumie aendako,hivi vyako vitanifaa kwa kuwa ni vikukuu
 
Back
Top Bottom