Picha; Ninauza kitanda na dinner set Hizi hapa.

Picha; Ninauza kitanda na dinner set Hizi hapa.

Mimi pia sijaelewa, labda kule kwetu Idindilimunyo hivi vitu ni vigeni
1476986569103.jpg
 
Ila nimecheka sana.....! Halafu kilasiku mnawananga wanaume wa Dar. Duh!
 
Ila nimecheka sana.....! Halafu kilasiku mnawananga wanaume wa Dar. Duh!
Wanaume wa Dar hawana mitkasi kama hii,

Kazi yao iko Instagram na Facebook kulike na kushare picha za misosi wakiwa Instagram dinner party na principal bachelor Le Baharia.
 
Hah
Wanaume wa Dar hawana mitkasi kama hii,

Kazi yao iko Instagram na Facebook kulike na kushare picha za misosi wakiwa Instagram dinner party na principal bachelor Le Baharia.
Hahahaaaaa! Unazidi kunivunja mbavu. Mitkasi yenyewe ndo hii. Yote tisa, 10 hicho kitanda. Hahahaaaa. Mkuu masihara hayo. Siyo kama nawatetea 'wauza nyago', ila sometimes na nyie mjiangalie jamani.
 
Hah

Hahahaaaaa! Unazidi kunivunja mbavu. Mitkasi yenyewe ndo hii. Yote tisa, 10 hicho kitanda. Hahahaaaa. Mkuu masihara hayo. Siyo kama nawatetea 'wauza nyago', ila sometimes na nyie mjiangalie jamani.
Pesa madafu...hata shingi mia aiachwi inapigwa..yaani pesa madafu!

Hata nikiwa na million tano nikiona mia njiani naokota...Wamkoa tuna "financial discipline "

I admit kitanda changu nacho tia maji tia maji. Loh!
 
Back
Top Bottom