Picha; Ninauza kitanda na dinner set Hizi hapa.

Picha; Ninauza kitanda na dinner set Hizi hapa.

Kwani ukivitupa wenyewe wanakataza??!!..
Kuliko kuvitupa wakati kuna watu majumbani kwao hamna kabisa kiti wala hakijawah kuwepo si afadhali avitoe bure wakalie ajichumie zake thawabu.
Kutupa kitu kinachofaa wakati kuna watu wanauhitaji ni kukufuru.Wape masikini watumia
 
Nyie watu hapana nimecheka mpaka machozi.
Watu mnavyocomment ukiwa na hasira za karibu unakufa kwa pressure.
Kweli JF unapata kila kitu.
Ahsanteni member kwa comment zenu mana nimeongeza siku za kuishi.
Dah!ila punguzeni utani unaofanana na ukweli mana watu tutaogopa kupost issue zetu humu.
hunizid mie mpk wanangu wananishangaa si kwa kucheka huku looooo jf raha
 
Kuliko kuvitupa wakati kuna watu majumbani kwao hamna kabisa kiti wala hakijawah kuwepo si afadhali avitoe bure wakalie ajichumie zake thawabu.
Kutupa kitu kinachofaa wakati kuna watu wanauhitaji ni kukufuru.Wape masikini watumia
Akitupa maskini wataokota...lakini kwa kuuza hakutawasaidia maskini wala wasio maskini...zaidi kuvunja watu mbavu.
 
Nimehamia kwenye nyumba yangu mpya hivyo kuna baadhi ya vitu nililazimika kuviacha nje na kuanza kutumia furrniture mpya hivyo hivi vilikaa nje kwa muda mrefu that's why vinaonekana vichafu na vyenye tope. BT its ll gud.

Nimepokea ushauri wenu, next time navichapa na maji then vinakula na varnish afu tuone kama mtaruka tena.
[emoji1] [emoji3] [emoji3]
 
😀😀😀.
Samahani kwa kufukua kaburi ila nmecheka mno
Mzigo ushauzwa?
 
Back
Top Bottom