Picha; Ninauza kitanda na dinner set Hizi hapa.

Picha; Ninauza kitanda na dinner set Hizi hapa.

Humble African

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
4,781
Reaction score
14,439
Habari!

Ninauza dinner set yenye viti vinne iko katika hali ya kawaida kwa bei ya tshs 140000/= inapatikana Mwanza.

Pia ninauza kitanda cha mninga futi 4×6 kiko kwenye hali ya kawaida kwa tshs 60000/= kinapatikana Mwanza.

Kwa maelezo zaidi piga 0754257807.

1476948553054.jpg
1476948562323.jpg
1476948574528.jpg
1476948584018.jpg
 
Back
Top Bottom