Picha; Ninauza kitanda na dinner set Hizi hapa.

Picha; Ninauza kitanda na dinner set Hizi hapa.

Pesa madafu...hata shingi mia aiachwi inapigwa..yaani pesa madafu!

Hata nikiwa na million tano nikiona mia njiani naokota...Wamkoa tuna "financial discipline "

I admit kitanda changu nacho tia maji tia maji. Loh!
Hahahahaaa! Kweli tia maji...ungaunga mwana!. Sasa huo mninga walikuuzia maneno ya mpingo au kitanda cha mninga?, hahahahaaaa!. Au na wewe unataka kumpiga mtu?. Lol!
 
Munawar ni namba nyingine.
Yule jamaa chenga sana,hana customer care na ni mjuaji sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huwa nasoma kimyakimya huku mbavu zikinivunjika.
Yule jamaa ndo maana hata simuoni humu jukwaani possiblly biashara yaweza kuwa imemshinda maana ana majibu kama Lodi lofa, maneno ya ghubu kama watoto wa kifimbo cheza, ungangabe kama Baba ubaya.!

Sidhani kama kuna mtu ajachukuana nae upepo humu jukwaani.
 
Yule jamaa ndo maana hata simuoni humu jukwaani possiblly biashara yaweza kuwa imemshinda maana ana majibu kama Lodi lofa, maneno ya ghubu kama watoto wa kifimbo cheza, ungangabe kama Baba ubaya.!

Sidhani kama kuna mtu ajachukuana nae upepo humu jukwaani.
Kuna jamaa mmoja walikuwa wanaligi kali sana ID yake imenitoka.
Sasa yule jamaa sijui ilikuwaje bwana...
Acha Munawar atambe kampoteza!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nina muda sijamuona pia...tuombee kheri tu.
 
Kuna jamaa mmoja walikuwa wanaligi kali sana ID yake imenitoka.
Sasa yule jamaa sijui ilikuwaje bwana...
Acha Munawar atambe kampoteza!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nina muda sijamuona pia...tuombee kheri tu.
Mhh!! Makubwa haya! Ila ile njemba ina majigambo kama inaimbaga ngonjera kwenye mahafali ya elo wai.
 
Back in business!

Mzigo bado upo wale wote ambao ni potential customers mnaweza kunicheck for More info.

Wale walio mikoa ya jirani mzigo unaweza kusafirishwa mpaka ulipo mteja.

"Mali mtumba, Mali ulaya"
 
Nyie watu hapana nimecheka mpaka machozi.
Watu mnavyocomment ukiwa na hasira za karibu unakufa kwa pressure.
Kweli JF unapata kila kitu.
Ahsanteni member kwa comment zenu mana nimeongeza siku za kuishi.
Dah!ila punguzeni utani unaofanana na ukweli mana watu tutaogopa kupost issue zetu humu.
 
Thubuuutu!!

Akiandika vyote kwa kizungu sahihi, nakunya mavi ya karanga karanga kama ya mbuzi hapa na Igoma.

Wallah!
Wewe wakati unaanza kunya hadi ufike igoma utatokea wapi pasiansi,bwiru,bugarika,nyasaka,kiloleni au maeneo gani ili nijue umbali wa hiyo safari[emoji15]
 
Back
Top Bottom