Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 361,191
- 832,021
Mambo msweet.. Rafiki ako Putin kapewa ban.Hizo sio chale, unajikuna bila kujua, weka chandarua inaonesha mbu wanakufyonza sana usiku.
Mbaya sana hiyo mkuuChale za kuzimu hizo
tiba yake si lele mama
Hata mimi yananitia mashamshammkuu umeyaona mapaja kweli hapo?
Nafikiri hiyo mikwaruzo ni sabuni yenye mchanga anapojisugua nayoHizo sio chale, unajikuna bila kujua, weka chandarua inaonesha mbu wanakufyonza sana usiku.
Hilo ndo jibu sahihi.... umetishaHuwa unajikuna usiku. Hakikisha unakata kucha zako za mikono na kuzifanyia filing vizuri ziwe butu.
hahah we jamaa mshariHarafu mbona mgongo laini sana mkuu
Aaaaaa. Mende.Chale ndefu hivyo?
Tega mitego ya panya na wadudu wadogo wadogo
Harafu mbona mgongo laini sana mkuu
Husababishwa na wewe mwenyewe kujikna wakati umelala. Aidha unalala bila kuoga au chumba chako kina vijidudu vidogo vinakupamba usiku na unajikuna ukiwa usingizini.Nmekua nikijiuliza sana hizi chale ziatokea wapi, inatokea nalala sina alama ila kesho nakuta eneo ambalo lilikuwa halina alama kesho yake limechanjwa na kitu kama viwembe kwa mbali, sio Mara moja hii kitu yaweza kunitokea mara mbili kwa mwezi sana sana maeneo ya mikono, kifuani ama mgongoni.
nimeambatanisha picha za chale nlizozikuta kwenye sehemu ya mkono....Hua zinatoka wapi na zina maana gani naombeni mawazo yenu.
Update: Hizi ni picha za mkono kwenye msuli sio mapaja wala mgongo
View attachment 818225View attachment 818226View attachment 818229