Budelele Jr
Senior Member
- Jul 19, 2018
- 146
- 99
Hata mimi nilikua nafikiria hivoWee umejikuna na mikucha yako mirefu bila kujua au umeogea dodoki ngumu limekuparua bila wewe kujua
Hata mimi nilikua nafikiria hivoWee umejikuna na mikucha yako mirefu bila kujua au umeogea dodoki ngumu limekuparua bila wewe kujua
hahhahahahhahahahahahahahahmkuu hizo sio chale wamekutandika viboko kbsa usiku. Jarb kuangalia na mgongon mpk huko chin kibiti
mkuu umeyaona mapaja kweli hapo?Una mapaja matamu
Hahahahaha nitairudishaile avatar yako nyingne iko wap? Najuta kwa nini sikuidownload, nimeamin maneno ya wahenga yasemayo "thamani ya kitu huja ukikikosa" ila sio mbaya nitakuja Pm unitumie. Turud kwenye maada, Mtoa mada nahc kalala na bund bila kujua.
hahaaaamkuu hizo sio chale wamekutandika viboko kbsa usiku. Jarb kuangalia na mgongon mpk huko chin kibiti
PromoDaah kuna watu wanakuchezea usiku nebda kwenye maombi kama uko dar neda mtoni kwa aziz ally tafutabkanisa la eagt kwa pastor katunzi hapo utapona hutaziona tena hzo chale maombi ni bure hapo.
Mwanaume wa Dar huyoHarafu mbona mgongo laini sana mkuu
Ingependeza zaidi tuwasaidie watu kuacha kutegemea watumishi, badala yake tuwashauri wamtegemee Mungu na kuwa na mahusiano binafsi na Mungu.Daah kuna watu wanakuchezea usiku nebda kwenye maombi kama uko dar neda mtoni kwa aziz ally tafutabkanisa la eagt kwa pastor katunzi hapo utapona hutaziona tena hzo chale maombi ni bure hapo.
Hizo sio chale ndugu yangu inavyoonekana we una kucha ndefu ukilala usiku waga unajikuna bila wewe kujua,punguza imani za kishirikina jiaminiNmekua nikijiuliza sana hizi chale ziatokea wapi, inatokea nalala sina alama ila kesho nakuta eneo ambalo lilikuwa halina alama kesho yake limechanjwa na kitu kama viwembe kwa mbali, sio Mara moja hii kitu yaweza kunitokea mara mbili kwa mwezi sana sana maeneo ya mikono, kifuani ama mgongoni.
nimeambatanisha picha za chale nlizozikuta kwenye sehemu ya mkono....Hua zinatoka wapi na zina maana gani naombeni mawazo yenu.
Cc. Mshana Jr View attachment 818225View attachment 818226View attachment 818229
Hiyo mbona mikwaruzo mkuu.
Nilishashuhudia mdada wangu wa kazi ameamka amejaa chale mwili mzima nikaamini kweli uchawi upo na mwenyewe akawa anakazania waliomchanja watakua walitoka kijijini kwao. Walimchanja wakampaka na dawa nyeusi.
ingekua kucha mikwaruzo ingekua rafu,lakini hiyo ni mchano mmojammoja smart..umenyooka swaafiHizo sio chale ndugu yangu inavyoonekana we una kucha ndefu ukilala usiku waga unajikuna bila wewe kujua,punguza imani za kishirikina jiamini
ANGALIA SABUNI UNAYOOGEA. KAMA IKIDONDOKA BAFUNI INASHIKANA NA MCHANGA AMBAO UNAKWARUZA NGOZI LAINI KAMA YA KWAKO. SS NGOZZI NGUMU WALAA. FANYA UTAFITI URAGUNDUA HILI HAKUNA UCHAWI WALA NININmekua nikijiuliza sana hizi chale ziatokea wapi, inatokea nalala sina alama ila kesho nakuta eneo ambalo lilikuwa halina alama kesho yake limechanjwa na kitu kama viwembe kwa mbali, sio Mara moja hii kitu yaweza kunitokea mara mbili kwa mwezi sana sana maeneo ya mikono, kifuani ama mgongoni.
nimeambatanisha picha za chale nlizozikuta kwenye sehemu ya mkono....Hua zinatoka wapi na zina maana gani naombeni mawazo yenu.
Cc. Mshana Jr View attachment 818225View attachment 818226View attachment 818229
dar hyoHarafu mbona mgongo laini sana mkuu