Picha: Nikiamka nazikuta chale, zinatoka wapi?

Picha: Nikiamka nazikuta chale, zinatoka wapi?

Hii situation nimewahi kukutana nayo.
dawa yake ni sala tu jitahidi wakati wakulala kuomba ulinzi wa Mungu kwa imani unayoiamini hii itakusaidia sana.

Pia sio chale mikononi tu kuna wakati itafikia utakuwa unakabwa usingizini.
 
Hizo sio chale mkuu hebu acha pombe harafu lala tu vizuri kama utaziona tena
 
Huwa unajikuna usiku. Hakikisha unakata kucha zako za mikono na kuzifanyia filing vizuri ziwe butu.
Au usiku akilala awe ana lala na grops mkononi, aepuke kujikwaluza na kucha. Akivaa grops na mikwaruzo ikatokea ujue usiku wachawi wamechukua vya kwao apo..
Na suruhisho ni kwenda kwa Mchungaji au nenda Kwa mganga
Kazi ni kwako apo
 
Kabla ya kulala kung'uta kitanda vizuri kama kina mchanga alaf ukate kucha usiamini ushirikina jamani poooh
 
Yeye ni mtu mzima na anajua sio mikwaruzo yake kama una ushauri mpe na sio kumhadaa. Mimi nasema ni wanga tafuta namna ya kuzindika nyumba yako na wewe ujiweke sawa. Hatufichi mambo ila ni utandawazi wa dunia. Ulimwengu wa roho una mengi.
 
Nmekua nikijiuliza sana hizi chale ziatokea wapi, inatokea nalala sina alama ila kesho nakuta eneo ambalo lilikuwa halina alama kesho yake limechanjwa na kitu kama viwembe kwa mbali, sio Mara moja hii kitu yaweza kunitokea mara mbili kwa mwezi sana sana maeneo ya mikono, kifuani ama mgongoni.

nimeambatanisha picha za chale nlizozikuta kwenye sehemu ya mkono....Hua zinatoka wapi na zina maana gani naombeni mawazo yenu.

Update: Hizi ni picha za mkono kwenye msuli sio mapaja wala mgongo

View attachment 818225View attachment 818226View attachment 818229
Pole sana mkuu!!! Nianze kwa hapo... Hila hizo chale wanazokuchanja sio nzuri ni chale za wachawi na wanga hao

Washakuweka alama zao popote unapoenda au unapofikia wachawi na wanga wa huko ugenini wanakupokea tafuta mtaalam akufute hizo chale na akuombee uepukane na mapepo hayo mkuu
 
Hiyo mbona mikwaruzo mkuu.
Nilishashuhudia mdada wangu wa kazi ameamka amejaa chale mwili mzima nikaamini kweli uchawi upo na mwenyewe akawa anakazania waliomchanja watakua walitoka kijijini kwao. Walimchanja wakampaka na dawa nyeusi.
Mzigua acha comedy basi..
 
kwa jinsi ulivyo soft usishangae ni mkwaruzo wa blangeti tuu...Unapendeza...
 
Ni la huko lushoto, Lina wahudumu weusi na sura chafu kinyama, ukimpa nauli konda baadae ukimwita akurudishie chenji, akigeuka ukimwangalia usoni kama upo soft soft waweza umwambie "samahan Baba hv unanidai sh ngap?" l
Nalionaga basi la shambalai hivi ni wapi huko? Mana limechokaa
 
Nmekua nikijiuliza sana hizi chale ziatokea wapi, inatokea nalala sina alama ila kesho nakuta eneo ambalo lilikuwa halina alama kesho yake limechanjwa na kitu kama viwembe kwa mbali, sio Mara moja hii kitu yaweza kunitokea mara mbili kwa mwezi sana sana maeneo ya mikono, kifuani ama mgongoni.

nimeambatanisha picha za chale nlizozikuta kwenye sehemu ya mkono....Hua zinatoka wapi na zina maana gani naombeni mawazo yenu.

Update: Hizi ni picha za mkono kwenye msuli sio mapaja wala mgongo

View attachment 818225View attachment 818226View attachment 818229
Michezo ya wanga haina madhara... Lala na ndimu na kitunguu saumu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom