3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,571
- 16,244
Usilale bila net halafu ukate kucha kama ni ke basi ubandue hayo makucha hutaziona hizo uziitazo chale ingawa ni mikwaruzo,
Kwann Pastor katunz na isiwe pAstor mwingineDaah kuna watu wanakuchezea usiku nebda kwenye maombi kama uko dar neda mtoni kwa aziz ally tafutabkanisa la eagt kwa pastor katunzi hapo utapona hutaziona tena hzo chale maombi ni bure hapo.
hukumfukuza? Mimi asubuh hio hio angepanda shambalai
Kwan huyu n me au ke mkuuHarafu mbona mgongo laini sana mkuu
Kwann Pastor katunz na isiwe pAstor mwingine
Ukinijibu swali hili nitakupa solution ya uchawi huoNmekua nikijiuliza sana hizi chale ziatokea wapi, inatokea nalala sina alama ila kesho nakuta eneo ambalo lilikuwa halina alama kesho yake limechanjwa na kitu kama viwembe kwa mbali, sio Mara moja hii kitu yaweza kunitokea mara mbili kwa mwezi sana sana maeneo ya mikono, kifuani ama mgongoni.
nimeambatanisha picha za chale nlizozikuta kwenye sehemu ya mkono....Hua zinatoka wapi na zina maana gani naombeni mawazo yenu.
Cc. Mshana Jr View attachment 818225View attachment 818226View attachment 818229

hao ni kunguni mzee baba ita watu wa fumigation fastaHa ha ha ha ha huyo siyo mwanaume, ni mwanamke kabisa.Mwanaume wa Dar huyo



Ndiyo maana wanaogopa kumchanja chale kubwa!!Harafu mbona mgongo laini sana mkuu
Sio chale hizoNmekua nikijiuliza sana hizi chale ziatokea wapi, inatokea nalala sina alama ila kesho nakuta eneo ambalo lilikuwa halina alama kesho yake limechanjwa na kitu kama viwembe kwa mbali, sio Mara moja hii kitu yaweza kunitokea mara mbili kwa mwezi sana sana maeneo ya mikono, kifuani ama mgongoni.
nimeambatanisha picha za chale nlizozikuta kwenye sehemu ya mkono....Hua zinatoka wapi na zina maana gani naombeni mawazo yenu.
Cc. Mshana Jr View attachment 818225View attachment 818226View attachment 818229