Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 42,436
- 50,163
NYENYEKEENI WAUME ZENU: Ndoa nyingi zinaendelea kuvunjika kwa sababu uanaharakati wa kijinsia (feminism) umewafundisha wanawake kwamba hawapaswi kuwanyenyekea wanaume zao. Lakini ukweli ni kwamba, ndoa haikuwahi kuwa kwa ajili ya viongozi wawili. Mara tu mwanamke anapokataa kumruhusu mwanaume kuongoza, msingi wa ndoa huanza kudhoofika. Ndoa si klabu ya mashindano.