Picha: Ndoa siyo klabu ya mashindano

Picha: Ndoa siyo klabu ya mashindano

1743764686199.png
 
Huyu Dada Sanamu Yake Ijengwe Madaba Pale
Kwa Kumbukumbu
 
Inategemea na company na malezi aliyotokea. Kama alilelewa akaona mama ndio anaelekea huko. Huko ndipo ataelekea.

Ni kuomba Mungu ukuane na ambae hata akiwa na pesa yulo ready kusikiliza, submissive.
Usije ukaingia na moenda mashindano, you wont get anywhere
Tuliambiwa tuishi nao kwa akili. Ukiona mashindano yanaanza, tumia msemo unaosema aliye juu mgoje chini. Biashara ya ndoa haitaki hasira. Ni game of chance. Huwa hawafiki mbali na kama wasemavyo kusikia kwa kenge hadi atoke damu masikioni
 
Tuliambiwa tuishi nao kwa akili. Ukiona mashindano yanaanza, tumia msemo unaosema aliye juu mgoje chini. Biashara ya ndoa haitaki hasira. Ni game of chance. Huwa hawafiki mbali na kama wasemavyo kusikia kwa kenge hadi atoke damu masikioni
Naaaam, no need ya kukimbizana. Just dont play, baadae wenyewe huwa wanajirudi
 
Naaaam, no need ya kukimbizana. Just dont play, baadae wenyewe huwa wanajirudi
Akija juu na wewe ukaja juu, mnajenga mbili. Dawa ya moto ni maji. Afterall katika uongozi kuna kitu inaitwa Due diligence
 
Back
Top Bottom