Picha: Ndege Yapata Kizaazaa Huko Arusha

Picha: Ndege Yapata Kizaazaa Huko Arusha

Ila sio COASTAL AVIATION tuliyoizowea

_DSC0151.JPG
 
bora imeangukia chini kuliko ingeangukia juu watu wakapoteza maisha...
 
Mkuu PakaJimmy unaniogopesha, hii case naona inafanana na wale viongozi walikufa miaka fulan kwa kosa la kujaza magunia ya mchele upande mmoja ikapaa baadae ikapiga mweleka
 
Last edited by a moderator:
Mambo ya kujuana kwenye kazi hayo;wataalamu wanatoswa wanaajil know Who;***** zao wangekufa tu!

Ambao wangekufa siyo waliopanga mizigo. Ambao wangekufa siyo waajiri. Sasa futa kauli yako ili ubakie kuwa muungwana!
 
Wanaweza kulaumu watengenezaji kwa nini matairi hayakuwekwa nyuma kidogo.
 
Wanaopakia walikuwa kwenye mabasi ya ngorika!!Dar express sasa hapo utategemea usalama kweli!
 
Back
Top Bottom