Unaweza ukakuta humo anatoka twiga mzima na ukubwa wake, chezea wabongo wewe..!??duuh wameweka tembo na vifaru nini?
hawakawii kusingizia saumu!
Ila sio COASTAL AVIATION tuliyoizowea
Mambo ya kujuana kwenye kazi hayo;wataalamu wanatoswa wanaajil know Who;***** zao wangekufa tu!
Mmuraa umenivunja mbavu zangu asee,Hii ndiyo shida ya waswahili wakishazoea kazi basi wanajifanyia tu bila kuzingatia utaratibu. Walidhani hiyo ni Saibaba wanajaza tu mizigo bila kuipanga kwa utaratibu unaotakikana.